Itovanilo
JF-Expert Member
- Jul 30, 2018
- 2,314
- 5,138
Hongera mkuu kwa kuwa shabiki wa YangaThank you Yanga. Hakika safari haikuwa nyepesi hata kidogo.
Hongera mkuu kwa kuwa shabiki wa YangaThank you Yanga. Hakika safari haikuwa nyepesi hata kidogo.
Naam dk 90 za mechi ya mchongo zimemalizika kwa timu ya wananchi Yanga Sports club kuibuka na ushindi wa goli 3-0 za mashaka dhidi ya Coastal Union wana Mangush.
shukran nyingi ziende kwa gsm kwa juhudi zake za kusambaza bahasha za kaki.
Niliposema hili mwanzo wakaniona hamnazoHii ni yanga au Man City?
Kabebe matofali kule bunju yanakusbiriNaam dk 90 za mechi ya mchongo zimemalizika kwa timu ya wananchi Yanga Sports club kuibuka na ushindi wa goli 3-0 za mashaka dhidi ya Coastal Union wana Mangush.
shukran nyingi ziende kwa gsm kwa juhudi zake za kusambaza bahasha za kaki.
Na ile ya FA ilikua ya mchongo pia?Mechi ya mchongo
Ila ya FA tuliwakatia shngap kwa bahasha?mtapotezaje mechi wakati mnasambaza bahasha!
matofali bado kwanza tunaweka bicon,we vipi.Kabebe matofali kule bunju yanakusbiri
Yanga huwa inakata moto mzunguko wa pili au hatukusema hivyo?
Kiukweli yanga wamebebwa mimi sikubali twendeni tff tukashtakimatofali bado kwanza tunaweka bicon,we vipi.
khaaaaahHuyu benzema bwana
Katoka kuchukua uefa juzi tu,leo tena kaja yanga anajiita mayele..
Benzema vua mask tumeshakujua
Camera imemnasa semaji la CUF ya LipumbaView attachment 2262081
Hongera topolo.. finally, after four long yearsWERE CHAMPION