Unateseka ukiwa wapi?Mbeya kwanza ni ya kwanza daima.
Mshamaliza usajili wake?Aucho leo anachoma mwindi, namuona benchi hapo
Tusajili mchezaji ambaye hata kwenye mechi ya hawa vibonde anakaa benchi?Mshamaliza usajili wake?
Una hali gani huko ulipo?Kila la kheri mbeya kwanza
Huwezi kuelewa leo,utaelewa baadaye why yupo benchiTusajili mchezaji ambaye hata kwenye mechi ya hawa vibonde anakaa benchi?
Kamari mbayaMechi ya leo tunapoteza alama zote 3
Ha ha ha haa🤸🤸🤸🤸Haya mayele kaisharudi uwanjani ila bado mdomo hajafumba kuinesha bado anaendelea kushangilia
Mechi ya leo hata nabi pale benchi simuini kufoka kama ilivyokua kwa namungoHuwezi kuelewa leo,utaelewa baadaye why yupo benchi
Tunashukuru kwa update mkuu Tanesco wameshafanya yao ila kiukweli unatesekaMechi ya leo hata nabi pale benchi simuini kufoka kama ilivyokua kwa namungo
Nikiwa geto nimtafuna dada wa kwaya ya kanisa.Unateseka ukiwa wapi?
Sawa mkuu mayele ni shati lilimtungua ManulaNavyosema mayele ni shati tu ebu fikiria kilichotokea sekunde chache zilizopita
Usijari kuwa endelea kuwa nami nami sichoki kukuhabarishaTunashukuru kwa update mkuu Tanesco wameshafanya yao ila kiukweli unateseka