ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,661
Ni ligii kuu Tanzania Bara, Kuendelea leo.
Ni Mbeya kwanza Dhidi ya Vinara wa ligi Kuu Tanzania Bara.
Mbeya Kwanza amekuwa na Mwanzo mzuri kwenye Ligii akipambana na wababe wa Soka La Tanzania Kama Polisi Tanzania.
Leo Yanga anahitaji kushinda kwa namna Yoyotr ile kama Atahitaji kuendelea kuongoza Ligi.
Game ni Saa Kumi Kamili Jioni
Tuwe hapa kwa Dk 90
Ni Mbeya kwanza Dhidi ya Vinara wa ligi Kuu Tanzania Bara.
Mbeya Kwanza amekuwa na Mwanzo mzuri kwenye Ligii akipambana na wababe wa Soka La Tanzania Kama Polisi Tanzania.
Leo Yanga anahitaji kushinda kwa namna Yoyotr ile kama Atahitaji kuendelea kuongoza Ligi.
Game ni Saa Kumi Kamili Jioni
Tuwe hapa kwa Dk 90