feyzal
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 6,940
- 12,922
Ni kweli na mchezaji wa Dodoma alikua chini kaumia.Goli la offside
Ni kweli na mchezaji wa Dodoma alikua chini kaumia.Goli la offside
Goli la offside
Goli la freddy ni offsideLimefungwa lingine limekataliwa kuwa offside? Au lile lile?
Malyenge nalo ni tatizo, usichukulie poa tafuta tiba
Litapatikana lingine ambalo sio la off sideGoli la freddy ni offside
Hao wazee ni wetu, tunawalipa mshahara sisi, wewe unakerwa na nini?Simba ni lini mtaacha hawa wazee wapumzike.....mnawaonea, kukimbia dakika 90 si mchezo jamani.
Sikerwi kaka, ila huruma tu kibinadamu.....Hao wazee ni wetu, tunawalipa mshahara sisi, wewe unakerwa na nini?
Tulia sasa utuache na Simba yetuSikerwi kaka, ila huruma tu kibinadamu.....
Hao ni ndugu zetu lakini kakaTulia sasa utuache na Simba yetu