Franky Samuel
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 4,912
- 12,988
Sawa mzee nikajua ni wewe maana hii message nimeiona leo asubuh kwenye group alafu nafika huku JF nakutana na comment yako nikajua ni mtu mmojaDuh haki ya nani ?
Hilo jinga limetumia jina langu sio mimi ndugu.
Mimi nabeti kikubwa kwa mshahara wangu sio ada broh