UDOM wameanza kuita watu kwa ajili ya Oral Interview, wameanza na madereva, list ya majina ipo kwenye website ya chuo The University Of Dodoma. ila kwa watu wa Accounts walishaajiri na watu wameshaanza kupiga mzigo..!
UDOM wameanza kuita watu kwa ajili ya Oral Interview, wameanza na madereva, list ya majina ipo kwenye website ya chuo The University Of Dodoma. ila kwa watu wa Accounts walishaajiri na watu wameshaanza kupiga mzigo..!
hao wa accounts walienda kimya kimya? so hapa ndo wanaanza kuita au kuna wengine tayari na wao wameshaanza kazi kama accounts?