From Madame B to Mung Chris...

We nawe usichokoze wafu waliozikwa na kudra zao.
Pendo mchezo.
Unadhani kupendana ni kama matako, kila mtu anayo...
Natafuta mwanaume mpya sasa
yaan ww unataka madame aanze vichambo vyake!kwann lakini?huu uzi haufai kufukuliwa...leo sipend kucheka had kulia mie
Ebu ngojeni kwanza kwani Madame shemeji yetu wa kichaga vipiii kumpokea kote kule na mdumange juuuu jamaniii
 
Ebu ngojeni kwanza kwani Madame shemeji yetu wa kichaga vipiii kumpokea kote kule na mdumange juuuu jamaniii
Hahahhah
Shoga kudanga huku, mpaka tunadangia sipo.
Ahhh....mie nimeona giza tu..natafuta mwanga sa hv.
Hahaajajaa.....chezea mapenzi wewe.
Mapenzi tuwaachie akina Kassim Mganga
 
Hahahhah
Shoga kudanga huku, mpaka tunadangia sipo.
Ahhh....mie nimeona giza tu..natafuta mwanga sa hv.
Hahaajajaa.....chezea mapenzi wewe.
Mapenzi tuwaachie akina Kassim Mganga
Hahhahah thread yote hiii sitaki kuamini jamaniii kwahiyo shemeji kamwagwa sasa sura zetu tutaziweka wapi kumkaribisha kote kule
 
Hahhahah thread yote hiii sitaki kuamini jamaniii kwahiyo shemeji kamwagwa sasa sura zetu tutaziweka wapi kumkaribisha kote kule
Hahahahahhhahhahhahah
hahahahhahahahahahhaha
Sura zenu mziweke tu huku Jf mwaya...hahhahah

Shemeji yako anakaba mpaka penati.
Nikichat na mwanaume jukwaani, nyumbani hakukaliki
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ