Fritz!Box 6810 LTE

Twin_Kids

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2016
Posts
4,231
Reaction score
5,975
Heri wakuu.
Mwenye uzowefu na hiyo box,
Najaribu kuweka simcard,inaisoma lakini haiwezi kuconnect internet.
Tafadhali anaeijua,naomba anijuze shida yaweza kuwa nini
 
Heading haijaeleweka mkuu. Ungeeleza kwa undani. Nenda settings kisha chagua mtandao husika click saka neno access point names click anza kuset mfano name Vodacom kisha Apn weka internet kisha save
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…