D diva48 tz Member Joined Jan 28, 2014 Posts 33 Reaction score 1 May 23, 2014 #1 habari wana jf naomba kufahamishwa kwa yeyote anayefahamu zinapouzwa izi friji za kuchanganyia juice na bei zake tafadhali anijulishe. Nawakilisha
habari wana jf naomba kufahamishwa kwa yeyote anayefahamu zinapouzwa izi friji za kuchanganyia juice na bei zake tafadhali anijulishe. Nawakilisha
Gamaha JF-Expert Member Joined Jul 17, 2008 Posts 3,946 Reaction score 5,087 May 23, 2014 #2 Hivi ni fridge zile eeh, Zinauwa kariakoo karibu na stend ya kwenda Ubungo/kimara bei 800k kwenda juu
Hivi ni fridge zile eeh, Zinauwa kariakoo karibu na stend ya kwenda Ubungo/kimara bei 800k kwenda juu
D diva48 tz Member Joined Jan 28, 2014 Posts 33 Reaction score 1 May 23, 2014 Thread starter #3 Gamaha said: Hivi ni fridge zile eeh, Zinauwa kariakoo karibu na stend ya kwenda Ubungo/kimara bei 800k kwenda juu Click to expand... thnx mkuu ila nshaziangaliaga pale ckuziona.ngoja nikazichek tena vizur
Gamaha said: Hivi ni fridge zile eeh, Zinauwa kariakoo karibu na stend ya kwenda Ubungo/kimara bei 800k kwenda juu Click to expand... thnx mkuu ila nshaziangaliaga pale ckuziona.ngoja nikazichek tena vizur
Gamaha JF-Expert Member Joined Jul 17, 2008 Posts 3,946 Reaction score 5,087 May 23, 2014 #4 diva48 tz said: thnx mkuu ila nshaziangaliaga pale ckuziona.ngoja nikazichek tena vizur Click to expand... Waulizie huwa wanaweka ndani
diva48 tz said: thnx mkuu ila nshaziangaliaga pale ckuziona.ngoja nikazichek tena vizur Click to expand... Waulizie huwa wanaweka ndani
D diva48 tz Member Joined Jan 28, 2014 Posts 33 Reaction score 1 May 23, 2014 Thread starter #5 Gamaha said: Waulizie huwa wanaweka ndani Click to expand... owkey mkuu
P PETEROPTIMIST Member Joined Nov 16, 2013 Posts 80 Reaction score 17 May 23, 2014 #6 zinaitwa juice dispenser mkuu
The Giant JF-Expert Member Joined Jun 24, 2012 Posts 504 Reaction score 96 May 23, 2014 #7 dodoma nkaambiwa 1.4m
D diva48 tz Member Joined Jan 28, 2014 Posts 33 Reaction score 1 May 24, 2014 Thread starter #8 PETEROPTIMIST said: zinaitwa juice dispenser mkuu Click to expand... owkey mkuu