Akili Sina
JF-Expert Member
- Jan 18, 2018
- 303
- 2,250
Kwa nini unaliuza ?
Utaratibu ukoje wa kurudisha endapo litanisumbua .... Na ikitokea nkarudisha utakua na hiyo hela cash??Kwasababu ni nahitaji hela, kuna kitu nataka nifanye .........Kama litakusumbua kwa namna yoyote ndani ya mwaka mmoja nirudishie
Sent using Jamii Forums mobile app
Utaratibu ukoje wa kurudisha endapo litanisumbua .... Na ikitokea nkarudisha utakua na hiyo hela cash??
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana broo, nisameheKama bei itapungua kufikia 500,000/= nipatie contact pm tufanye biashara
Nina 600000 cashKwasababu ni nahitaji hela, kuna kitu nataka nifanye .........Kama litakusumbua kwa namna yoyote ndani ya mwaka mmoja nirudishie
Sent using Jamii Forums mobile app
Ada inasumbua sanaKwasababu ni nahitaji hela, kuna kitu nataka nifanye .........Kama litakusumbua kwa namna yoyote ndani ya mwaka mmoja nirudishie
Sent using Jamii Forums mobile app
Ok sawa mukulu. Nakutakia kila lenye kheri upate wateja. Na kutokana na sababu uliyoitoa basi Friji hii ni Konki kabisa.Kwasababu ni nahitaji hela, kuna kitu nataka nifanye .........Kama litakusumbua kwa namna yoyote ndani ya mwaka mmoja nirudishie
Sent using Jamii Forums mobile app
Fridge ni zuri eti, ki muonekano na ubora piaOk sawa mukulu. Nakutakia kila lenye kheri upate wateja. Na kutokana na sababu uliyoitoa basi Friji hii ni Konki kabisa.
Utaratibu ukoje wa kurudisha endapo litanisumbua .... Na ikitokea nkarudisha utakua na hiyo hela cash??
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo ndio huwaga pagumu,,na kwa sasa anae shida na pesa,ukikaa nalo mwezi likabuma cjui km hio 800k itakuwepo,,,nadhani muuzaji ingetosha sana kusema tyu kuwa chombo iko poa,na ukataja muda specific uloitumia ukiambatisha na risiti ya manunuzi ikionyesha tarehe ilonunuliwa,,,,haya maswala mengine MTU akiichukua ikiwa nzima basi akaitumie kiuangalifu na ikibuma huko ni ya kwake
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakubaliana nawewe. Wengine si waangalifu halafu likiharibika anakuridishia msala. Atoe waranty ya mwezi mmoja tuHapo ndio huwaga pagumu,,na kwa sasa anae shida na pesa,ukikaa nalo mwezi likabuma cjui km hio 800k itakuwepo,,,nadhani muuzaji ingetosha sana kusema tyu kuwa chombo iko poa,na ukataja muda specific uloitumia ukiambatisha na risiti ya manunuzi ikionyesha tarehe ilonunuliwa,,,,haya maswala mengine MTU akiichukua ikiwa nzima basi akaitumie kiuangalifu na ikibuma huko ni ya kwake
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo nimekuelewaNakubaliana nawewe. Wengine si waangalifu halafu likiharibika anakuridishia msala
Sent using Jamii Forums mobile app