MTAZAMO
Platinum Member
- Feb 8, 2011
- 19,993
- 34,867
Wakuu,
Marafiki wa Simba ( Friends of Simba,) ndio wanaoimaliza Simba. Mfahamu hatutofanikiwa bila kuachana na hili kundi lote. Utulivu Yanga ni sababu timu kapewa GSM na hakuna anayeingilia hata lawama ikitokea ni rahisi kujua ziende wapi.
Kwasasa hao Friends of Simba wamepasuka na hatutaendelea hadi tuamue kuachana nao. Bahati mbaya hili kundi lina nguvu na hakuna wa kuwatoa labda mfumo uingilie kati.
Kwa ufupi tuvumilie matatizo hatuna cha kufanya labda tuisusie timu msimu mzima wenyewe wajirudi.
Hatuna tatizo la makocha wala wachezaji, huko kwenye utawala KUMEOZA!
Marafiki wa Simba ( Friends of Simba,) ndio wanaoimaliza Simba. Mfahamu hatutofanikiwa bila kuachana na hili kundi lote. Utulivu Yanga ni sababu timu kapewa GSM na hakuna anayeingilia hata lawama ikitokea ni rahisi kujua ziende wapi.
Kwasasa hao Friends of Simba wamepasuka na hatutaendelea hadi tuamue kuachana nao. Bahati mbaya hili kundi lina nguvu na hakuna wa kuwatoa labda mfumo uingilie kati.
Kwa ufupi tuvumilie matatizo hatuna cha kufanya labda tuisusie timu msimu mzima wenyewe wajirudi.
Hatuna tatizo la makocha wala wachezaji, huko kwenye utawala KUMEOZA!