Friends forever,Inasisimua mno!

Friends forever,Inasisimua mno!

New City

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2014
Posts
2,922
Reaction score
3,860
12494827_1853386718221240_4030284680042215455_n.jpg
12494827_1853386718221240_4030284680042215455_n.jpg
 
ndu ule ujumbe kuwa sisi hatujakutana barabarani.
 
Utengano wao utakuja baada ya mmoja wao au wote kuoa.
 
Baadae wanakuja kugombanishwa na kitu kidogo sana...
 
Ndio maana watoto wanaitwa Malaika.

Wana upendo wa kweli
 
Daaaah hadi nimewamiss marafiki zangu wa utotoni,enzi hizo tunaweza kuvua mashati/t-shirts na kubaki vifua wazi!
Oooh,I miss those days!
 
"The innocence of children!" Yesu alisema, yeyote atakayeweza kuwa na moyo kama wa mtoto, njia ya kwenda mbinguni ni nyeupeee!
 
Daaaah hadi nimewamiss marafiki zangu wa utotoni,enzi hizo tunaweza kuvua mashati/t-shirts na kubaki vifua wazi!
Oooh,I miss those days!
Mkuu kwani we ni me?samahani lakini
 
Mkuu kwani we ni me?samahani lakini
Ke....sidhani kama suala la kubaki kifua wazi kwa watoto linahusisha jinsia.
Kila mtu na lifestyle yake ya utotoni anyway....
 
Inapendeza sana, tofauti ya uelewa wa masomo ndio iitaanza kuwatenganisha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom