Frem Ferry/Kivukoni DSM

Frem Ferry/Kivukoni DSM

jembelamkono

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2015
Posts
2,733
Reaction score
2,017
Habari wakuu,

Natafuta frem ya kukodisha maeneo ya ferry/kivukoni Dar es Salaam, budget yangu ni kuanzia tsh 120,000/= mpaka 180,000/= kwa mwezi, malipo kodi ya miezi 6. Mwenye nayo tuwasiliane kwa 0621003284.
 
Kwa bei hiyo sahau kabisa kupata frem, labda uende Kimara, Segerea au Mbagala. Frem za Mjini zinaanzia lak 4 hadi mil 6 na kuendelea kwa mwezi.
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Kwa bei hiyo sahau kabisa kupata frem, labda uende Kimara, Segerea au Mbagala. Frem za Mjini zinaanzia lak 4 hadi mil 6 na kuendelea kwa mwezi.
Mkuu mbagala fremu ni gharama kubwa sana kuliko unavyofikiri
 
Kwa bei hiyo sahau kabisa kupata frem, labda uende Kimara, Segerea au Mbagala. Frem za Mjini zinaanzia lak 4 hadi mil 6 na kuendelea kwa mwezi.
Mkuu hebu nionyeshe hiyo frem ya mil 6/$ 2700 kwa mwezi kuanzia ferry mpaka puna yaleyale?
 
Kwa bei hiyo sahau kabisa kupata frem, labda uende Kimara, Segerea au Mbagala. Frem za Mjini zinaanzia lak 4 hadi mil 6 na kuendelea kwa mwezi.
Frame ferry kwa mwz 300,000... 400,000/= Adi 500,000 jichange bro
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom