Ana ujasusi gani acha kumpa kikbwana everist hiv kwa nini usianzishe course online ya ujasusi na uachane na hawa wanaharakati uchwara akina salary slip ambao hawatoi ushauri nini kifanyike kuyazuia haya maagizo kutoka juu kufanya kazi
Hamna mkuu ni nyumbu hizi, mda huu ziko bize na membe.wanachadema wamashangazwa na kitendo cha mbowe kwenda kula bata na kukiuka kanuni sasa hawajui wamtetee vipi
Moja ya mafanikio ya awamu hii ni kununua critics wake kwa 90%.Wewe Chahali, kama maisha ya ukimbizi yamekushinda rudi bongo tu siyo mpaka ujipendekezependekeze!, na ukirudi lazima wakunyooshe kwa sababu wewe ni coward!
Sasa kwako chenye maana ni kipi, kuanzisha mada ya lawama kwa wanachadema kwamba hawajaanzisha hashtag ya #FreeMbowe au Kuanzisha mada kuwataka waliomshikilia Mbowe wamuachie huru?.
Cowards kama nyinyi huwa mko mbio kulaumu Victims badala ya Kulaumu wenye kutenda dhuluma!
You are out of your mind, nadhani ndiyo maana hata Mange alikuona uko out of your mind
Unajua wangapi wamejiunga na kozi zangu za Cybersecurity na Personal Development? 500+sidhani kama atapata wanafunzi...
Sasa usichokijua ukigeugeu ni technical nzuri zaidi ya kupata siri za adui .Hivi unafikiri mtu kama snowden ni kweli aliachana na CIAAna ujasusi gani acha kumpa kik
Ushawahi kuona wapi jasusi kigeugeu
Ova
Chahali huna tofauti na maiti , huna unachokipigania ,huna faida hata kwa shetani , kwa kweli ni hasara kubwa sana kwa wazazi wako
Hao mbwa wanaotumia lugha mbovu hujawaona, Mtumishi wa Mungu?Mkuu kumbe na wewe una lugha kali namna hii! Rudi kwenye lugha za kistaarabu hata kama umekasirika unaharibu haiba yako namna hiyo. Hujasoma Mithali 26:4?!
Nani arudi huko mnakolalamika vyuma vimebana?Huyu jamaa snitchhh
Alafu naona sahv anajipendekeza Aweze arudi naona kachoka kubeba mabox hko
Ova
Huyo anatumika siku hizi ni wakumpuuza. Ilikuwa njaa watu wakafika bei. Hana tofauti na wale....
naona mbwa leo wamekuwakia sana bwana chahaliHao mbwa wanaotumia lugha mbovu hujawaona, Mtumishi wa Mungu?
Rudi nyumbani basi mzalendoNani arudi huko mnakolalamika vyuma vimebana?
Sasa usichokijua ukigeugeu ni technical nzuri zaidi ya kupata siri za adui .Hivi unafikiri mtu kama snowden ni kweli aliachana na CIA
No way. Hicho kiama cha vyuma vimekaza bora tu kujificha huku.Achana na huyo jamaa.Mtu unaguswa na manyanyaso ya wapinz
Njoo huku upambane tukuone na sio kujificha huko Ulaya.
swala si kujua au kutokujaua swala ni wazi ukigeugeu ni somo katika ujasusiNa unadhani Warusi hawajui yote hayo sio?
Imekuuma? JitundikeAna ujasusi gani acha kumpa kik
Ushawahi kuona wapi jasusi kigeugeu
Ova
OK bwana kumbe uko vizuri na kwenye usalama wa mtandaoniUnajua wangapi wamejiunga na kozi zangu za Cybersecurity na Personal Development? 500+
Unajua watu wangapi wame-subscribe kijarida cha tweets zangu? 800+
Don't underestimate the power of intelligence.
No go figure! View attachment 960636View attachment 960637View attachment 960638
Kila mtu anabeba msalaba wake kama jinsi wewe ulivyozamia huko. Kama jasiri rudi uungane nasi kufanya hicho unacho shauri ni pomoja na kuwashawishi wapiga kura kuchagua Serikali ya viongozi wenye mapenzi na nchi yao siyo matumbo yao.Kwanini wanachama na wafuasi wa Chadema "wamemtelekeza" Mbowe na Esther Matiko angalau kwa mtandaoni, ambapo ilitarajiwa muda huu tukutane na hashtag kama #FreeMbowe au #FreeMboweAndEstherMatiko na vitu kama hivyo?
I'm not saying kuwa hizi hashtag zitaifanya mahakamani itoe dhamana wala haimaanishi kuwa Jiwe ataona aibu kuwanyanyasa wapinzani bila aibu. However, Sie tunaoamini kuwa "kukaa kimya ni ishara ya kuridhia jambo baya," tunadhani kelele ya aina yeyote ile dhidi ya jambo baya ni muhimu.
On the other hand, na hili linaweza kupelekea ninyeshewe mvua ya matusi, bado hainiingii akilini kuona Mbowe na Matiko walidiriki kukiuka masharti ya dhamana. Siwalaumu bali sote twafahamu kuwa the last thing Jiwe needed from them ni wao kumpa excuse ya kuwaweka ndani wanasiasa wa upinzani kwa muda mrefu kadri iwezekanavyo.
Wakati tunajua kuwa bado Jiwe angeweza kutumia excuse yoyote ile kuhakikisha japo kiongozi mmoja wa upinzani "anakula Krismasi akiwa jela," kitendo cha kina Mbowe kuvunja masharti ya dhamana - haijishi validity ya sababu zao - ni sawa na "mbuzi kufia kwa muuza supu."
Ni kitu kibaya kisichokubalika lakini unfortunately kipo na kinatokea. Anayedhani Jiwe ana limit ya kuuangamiza upinzani basi labda kalala usingizi fofofo. Mie ni miongoni mwa watu wanaohisi kuwa kuna uwezekano mkubwa kabisa kwa Jiwe kutumia kila mbinu kuhakikisha Bunge la 2020 linakuwa virtually la chama kimoja. Most of opposition MPs (watakuwa wamebaki wachache tu come 2020 after wengi wao kulazimika kuhamia CCM "kwa nguvu" au ili kulinda majimbo yao) watapoteza majimbo yao katika njia hizi hizi za kihalifu zinazotumiwa na Jiwe dhidi ya Upinzani.
Back to the major theme, je tutarajie #FreeMboweAndEstherMatiko hivi karibuni au ndio nobody gives a f*ck? (Pardon my French)
Naona umekuwa mtu wa mipasho siku hziImekuuma? Jitundike
Jamaa kweli jazba zimezidi, maisha. Kwenye siasa wamekuwa kama Kenge aliyekabwa na yai la kuchemsha. 2015 walitupiwa moja (Mamvi). Mida hii wajanja wa kijani wanawachemshia lingine ( linaitwa Mango). Full kuumizana na mwenyekiti wamemsahau.Siku hizi huyu Salary Slip amekuwa na hasira kweli kweli. Sio yule tena. Ukimgusa kidogo tu anakuangushia matusi mazito, ha ha ha.
Unajua wangapi wamejiunga na kozi zangu za Cybersecurity na Personal Development? 500+
Unajua watu wangapi wame-subscribe kijarida cha tweets zangu? 800+
Don't underestimate the power of intelligence.
No go figure! View attachment 960636View attachment 960637View attachment 960638