#FreeMboweAndEstherMatiko... anyone?

Haiwezekani mtoto mbichi kama huyu anasota rumande halafu kina kibajaji wapo uraiani
Basi nichukueni mimi bwana nikae ndani uyo mrembo awe huruView attachment 961325
Wa sio kua warembo ndowafungwe(get mature) lata hoja ya kwanini anawekwa rumande wakati vigezo vya kutokukimbia nchi anavyo it's really unfair....hari kama hiyo huleta chuki na visasi kwa taifa
 
Aanze huyu kutoka anatia huruma sana huyu mrembo

Wa sio kua warembo ndowafungwe(get mature) lata hoja ya kwanini anawekwa rumande wakati vigezo vya kutokukimbia nchi anavyo it's really unfair....hari kama hiyo huleta chuki na visasi kwa taifa
 
Je, wewe ulitaka watanzania wafanyeje ili isionekane kuwa 'wamemtelekeza' mbowe kama unavyosema? Je, unashauri wavamie mahabusu wakawatoe ndani kwa nguvu?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…