Freeman Mbowe unatuachaje?

Freeman Mbowe unatuachaje?

Hatimaye ule mwaka ambao Freeman Aikael Mbowe alitangaza kuwa ataachia Uenyekiti wa CHADEMA na kumkabidhi kiongozi mpya yaani mwaka 2023 umefika na unakaribia kuisha Swali ni Freeman Mbowe unatuachaje?

Mwaka 2023 unakaribia kwisha hakuna hata dalili za uchaguzi ndani ya CHADEMA na haijulikani ni nani mrithi ambaye Mbowe amemuandaa au anatuachia atakayeweza kuvaa viatu vyake?

Freeman Mbowe unatuachaje?
Tunamhitaji Mbowe sasa kuliko wakati mwingine wowote!
 
Sioni akitekeleza hilo, naona anajikausha akidhani tumesahau ahadi zake. Upuuzi mtupu.
Alafu ni aibu sana wanachama kusema "hawaoni mtu" maana ni sawa na kusema mwenyekiti hajafanya succession plan ya kutosha.

Kung'atuka naona itakua ngumu especially sasa ambapo kwa udhaifu wa Samia, ujio wa tume huru, na maridhiano Kuna "uhakika" wa kushinda madaraka, serikali mseto au wabunge wa "kumwaga" so sidhani atakubali awe mbali ilihali wakati wa mafanikio umewadia.
 
Mwl. Nyerere mwaka 1980 alitaka kuiachia nafasi yake ya uongozi lakini mazingira yakamlazimisha kuahirisha uamuzi huo mpaka ilipofika mwaka 1985.

Hali kadhalika Mh. Mbowe mazingira ya kisiasa ya sasa yanamlazimisha kushikilia nafasi hiyo kwa uchache sana hadi ifikapo mwaka 2030 lakini "pepo" lisipotoka na kusalimu amri basi ni lazima ifike mpaka 2035. Kumbuka kuwa huyu ni mtoto wa ubatizo wa Mwl. Nyerere.
Hata mimi nauna mkono hoja jamaa aendelee kidogo sababu CCM hii ni hatari atuache na katiba mpya
 
Hatimaye ule mwaka ambao Freeman Aikael Mbowe alitangaza kuwa ataachia Uenyekiti wa CHADEMA na kumkabidhi kiongozi mpya yaani mwaka 2023 umefika na unakaribia kuisha Swali ni Freeman Mbowe unatuachaje?

Mwaka 2023 unakaribia kwisha hakuna hata dalili za uchaguzi ndani ya CHADEMA na haijulikani ni nani mrithi ambaye Mbowe amemuandaa au anatuachia atakayeweza kuvaa viatu vyake?

Freeman Mbowe unatuachaje?
haondoki mtu hapa, kafie huko ccm

Lord Atkin outlined the parameters of the duty of care in this field in the following often-quoted terms: “You must take reasonable care to avoid acts or omissions which you can reasonably foresee would be likely to injure your neighbour.2
 
haondoki mtu hapa, kafie huko ccm

Lord Atkin outlined the parameters of the duty of care in this field in the following often-quoted terms: “You must take reasonable care to avoid acts or omissions which you can reasonably foresee would be likely to injure your neighbour.2
Jaribio la Zittow kuuchukua uenyekiti lingefanikiwa,

Leo hii CDM ingekuwa tawi la CCM!!
 
Kazi iliyopo mbele yetu ni kubwa mno haijawai kutokea, Mwamba aendelee kutuongoza hadi tumtoe nyoka pangoni(DP ) na kupatikana kwa katiba mpya.
 
Hatimaye ule mwaka ambao Freeman Aikael Mbowe alitangaza kuwa ataachia Uenyekiti wa CHADEMA na kumkabidhi kiongozi mpya yaani mwaka 2023 umefika na unakaribia kuisha Swali ni Freeman Mbowe unatuachaje?

Mwaka 2023 unakaribia kwisha hakuna hata dalili za uchaguzi ndani ya CHADEMA na haijulikani ni nani mrithi ambaye Mbowe amemuandaa au anatuachia atakayeweza kuvaa viatu vyake?

Freeman Mbowe unatuachaje?
Kwani wewe ulimkutaje,ulivyomkuta ndivyo utakavyo kuacha😂
 
Kazi iliyopo mbele yetu ni kubwa mno haijawai kutokea, Mwamba aendelee kutuongoza hadi tumtoe nyoka pangoni(DP ) na kupatikana kwa katiba mpya.
Hakika majukumu ni mengi sana! 1. KATIBA MPYA 2. DP WORLD 3. TUME HURU YA UCHAGUZI
 
Alafu ni aibu sana wanachama kusema "hawaoni mtu" maana ni sawa na kusema mwenyekiti hajafanya succession plan ya kutosha.

Kung'atuka naona itakua ngumu especially sasa ambapo kwa udhaifu wa Samia, ujio wa tume huru, na maridhiano Kuna "uhakika" wa kushinda madaraka, serikali mseto au wabunge wa "kumwaga" so sidhani atakubali awe mbali ilihali wakati wa mafanikio umewadia.
Sipingi usemacho mkuu, lakini nitofautiane kidogo na ww, sidhani hata kama mazingira hayo yasingekuwepo angeachia. Ni mtu ambaye tayari ameshageuza hicho cheo ni sehemu ya maisha yake. Na katika mazingira hayo, hata ukifanyika uchaguzi ni lazima yeye na kundi lake wachezee uchaguzi kwa lengo kwa kumbakisha madarakani.

Yaani ni mambo ya aibu kabisa. Mimi huyo Mbowe nilishamtoa maanani toka kosa la kijinga la ujio wa Lowassa. Hapo alipo anafanya trail & error akitegemea kupata mafanikio zaidi ya aliyoyapata kwenye uongozi. Kuna mtu nilimwambia hapa hata hiyo 2023 hataachia madaraka, bali alikuwa anajaribu kupooza joto la watu kumtaka aachie ngazi.
 
Mbowe lazima atimize ahadi yake ya kusitaafu 2023, wanachadema tunaenda na halima mdee
 
kiuhalisia mbowe akiondoka chama kina kufa mbowe ni mstaaf=rabu anajuwa siasa lisu ana jazba ambayo haitakiwi katika siasa heche ni mbumbumbu wa siasa na anatamaa na madaraka tu akiwa hajy=ui ataenda kufanya nini
Kwani Lissu ndiyo atakuwa Mwenyekiti ?
 
Back
Top Bottom