kweleakwelea
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 3,066
- 1,535
Hi all,
kila wakati nimekuwa nikitafakari dynamics za politics hapa Tanzania na nimegundua kuwa Mungu nio mwema..
nikatafakari modalities za umafia wa siasa zinazotumiwa na CCM kuendelea kushika dola nikaona upendo wa Mungu....
ni Mungu ndiye aliyemtuma mja wake Freeman aje atukomboe.....
Freeman ni mwanadamu, naye ana mapungufu pia ana mazuri.....
Freeman, will set Tanzanians FREE!!!
nina kila sababu ya kusema hivyo na nitaweka mkazo kama ifuatavyo...
Tangu kuanzishwa kwa vyama vingi umafia ufuatao umekuwa ukitumika....
1. kuanzisha vyama utitiri vya kusindikiza CCM ikulu. vyama hivi vimekuwa vikiongozwa ma mamluki au maafisa usalama. vimeshiriki chaguzi lakini kiutaalamu sana kuiachia CCM ipite e.g. NCCR mageuzi ya Mrema na hata sasa ya Mbatia
2. kupandikiza maafisa usalama waliosomea jinsi ya kuua upinzani ndani ya mioyo ya watu. we could see shift from one party to another (eg lyatonga Mrema) na jinsi ilivyowafanya watu wakate tamaa na siasa....toka NCCR hadi TLP kote akichukua nafasi za uenyekiti na kuua morale za watu kupigania haki zao.......
3. kutumia hela kuvuruga vyama na itikadi za siasa za watu.... kama ilivyokuwa pale namba moja, imagine mtu kama DOVUTWA FAHMI DOVUTWA aliwezaje kutimiza masharti ya kuwa mgombea uraisi?? hatuani ni kituko cha mwaka alipojitoa pale mwisho kura zake ziende kwa kikwete? jinsi gani anavyojiunga na mbatia na mrema kuwapiga vita chadema??
4. Uwepo wa vyama kama kina dovutwa na SAU ni shindikizo la kuunga mkono maazimio yasiyo na mashiko. tumeona mara nyingi hawa huitwa kuunga mkono maazimio yale hayaungwi mkono na vyama upright... hupewa hela nzuri tu kama ujira wao.....
5. kupandikiza viongozi wenye siasa za mrengo wa kati ili kuiwezesha CCM kubaki madarakani
6. Kutumia POSHO kukamata wasomi. na watu wenye ufahamu kujiunga nao na kuuhujumu upinzani.
kwa nini Mungu ni mzuri kwa kutupa Mbowe?
1. hahongeki
2. Ana nia ya dhati ya kumkomboa mtanzania. imefanya chama kiaminike na kugain popularity miongoni mwa watanzania hata wale wasomi.
3. ni shupavu, ana msimamo na ana uwezo wa kuchukua hatua behind the curtain (umafia anauweza)
4. ana adabu kubwa kwa wazee, mnyenyekevu, anaheshimu mchango wa wasomi wa tanzania, na kwa busara kubwa ameweza kuzuia mapandikizi yenye siasa za mrengo wa kati kuja kuidismental chadema. I SINCERELY TO DO NOT SEE THE BEST ALTERNATIVE SO FAR.
5. Ni shujaa wetu - japo tunauthamini mchango wa viongozi wetu wote wa chama, bado tuna imani kubwa kwa mwenyekiti wetu Mh Mbowe tukiamini kuwa atatuvusha salama katika kipindi hiki chenye ukuwadi mkali wa kukiua toka CCM
6. ni mtu wa kazi, pamoja na nafasi yake kubwa, huweza kufanya kazi masaa mengi, bila kula wala kupumzika.. kwa kweli wakati wa kazi za chama mara nyingi huwa mtu wa mwisho kuchoka.....na kukumbuka chakula....(kaka wa ajabu)
7. ameongoza na anaendelea kuongoza wabunge wake kuchapa kazi bila kulala... huongoza na kusisitiza kuwa kupata ubunge sio mwanzo wa holiday........aliapa kuwa kuupata ubunge ni mwanzo wa safari na sasa tunaona....
Mungu Mbariki Mbowe,
Mungu ibariki CHADEMA,
Mungu ibariki Tanzania.
kila wakati nimekuwa nikitafakari dynamics za politics hapa Tanzania na nimegundua kuwa Mungu nio mwema..
nikatafakari modalities za umafia wa siasa zinazotumiwa na CCM kuendelea kushika dola nikaona upendo wa Mungu....
ni Mungu ndiye aliyemtuma mja wake Freeman aje atukomboe.....
Freeman ni mwanadamu, naye ana mapungufu pia ana mazuri.....
Freeman, will set Tanzanians FREE!!!
nina kila sababu ya kusema hivyo na nitaweka mkazo kama ifuatavyo...
Tangu kuanzishwa kwa vyama vingi umafia ufuatao umekuwa ukitumika....
1. kuanzisha vyama utitiri vya kusindikiza CCM ikulu. vyama hivi vimekuwa vikiongozwa ma mamluki au maafisa usalama. vimeshiriki chaguzi lakini kiutaalamu sana kuiachia CCM ipite e.g. NCCR mageuzi ya Mrema na hata sasa ya Mbatia
2. kupandikiza maafisa usalama waliosomea jinsi ya kuua upinzani ndani ya mioyo ya watu. we could see shift from one party to another (eg lyatonga Mrema) na jinsi ilivyowafanya watu wakate tamaa na siasa....toka NCCR hadi TLP kote akichukua nafasi za uenyekiti na kuua morale za watu kupigania haki zao.......
3. kutumia hela kuvuruga vyama na itikadi za siasa za watu.... kama ilivyokuwa pale namba moja, imagine mtu kama DOVUTWA FAHMI DOVUTWA aliwezaje kutimiza masharti ya kuwa mgombea uraisi?? hatuani ni kituko cha mwaka alipojitoa pale mwisho kura zake ziende kwa kikwete? jinsi gani anavyojiunga na mbatia na mrema kuwapiga vita chadema??
4. Uwepo wa vyama kama kina dovutwa na SAU ni shindikizo la kuunga mkono maazimio yasiyo na mashiko. tumeona mara nyingi hawa huitwa kuunga mkono maazimio yale hayaungwi mkono na vyama upright... hupewa hela nzuri tu kama ujira wao.....
5. kupandikiza viongozi wenye siasa za mrengo wa kati ili kuiwezesha CCM kubaki madarakani
6. Kutumia POSHO kukamata wasomi. na watu wenye ufahamu kujiunga nao na kuuhujumu upinzani.
kwa nini Mungu ni mzuri kwa kutupa Mbowe?
1. hahongeki
2. Ana nia ya dhati ya kumkomboa mtanzania. imefanya chama kiaminike na kugain popularity miongoni mwa watanzania hata wale wasomi.
3. ni shupavu, ana msimamo na ana uwezo wa kuchukua hatua behind the curtain (umafia anauweza)
4. ana adabu kubwa kwa wazee, mnyenyekevu, anaheshimu mchango wa wasomi wa tanzania, na kwa busara kubwa ameweza kuzuia mapandikizi yenye siasa za mrengo wa kati kuja kuidismental chadema. I SINCERELY TO DO NOT SEE THE BEST ALTERNATIVE SO FAR.
5. Ni shujaa wetu - japo tunauthamini mchango wa viongozi wetu wote wa chama, bado tuna imani kubwa kwa mwenyekiti wetu Mh Mbowe tukiamini kuwa atatuvusha salama katika kipindi hiki chenye ukuwadi mkali wa kukiua toka CCM
6. ni mtu wa kazi, pamoja na nafasi yake kubwa, huweza kufanya kazi masaa mengi, bila kula wala kupumzika.. kwa kweli wakati wa kazi za chama mara nyingi huwa mtu wa mwisho kuchoka.....na kukumbuka chakula....(kaka wa ajabu)
7. ameongoza na anaendelea kuongoza wabunge wake kuchapa kazi bila kulala... huongoza na kusisitiza kuwa kupata ubunge sio mwanzo wa holiday........aliapa kuwa kuupata ubunge ni mwanzo wa safari na sasa tunaona....
Mungu Mbariki Mbowe,
Mungu ibariki CHADEMA,
Mungu ibariki Tanzania.