Freeman Mbowe, kwanini una mlaghai Lowassa?

Freeman Mbowe, kwanini una mlaghai Lowassa?

MsemajiUkweli

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2012
Posts
13,185
Reaction score
24,051
Mwanzoni mwa mwaka huu tulishuhudia Mwenyekiti wa CHADEMA-Taifa, Freeman Mbowe akizunguka sehemu mbali mbali nchini kuzindua vikosi vya vijana wanaoitwa Red Brigade kwa ajili ya kuwaandaa kukilinda chama na kuzuia wizi wa kura kwenye Uchaguzi Mkuu.

Mbowe alienda mbali zaidi na kudai CHADEMA imejipanga katika Uchaguzi Mkuu na hakutakuwa na wizi wa kura hata moja.

Kwa sasa Mbowe anamwaminisha Lowassa kwa kumwambia ameibiwa kura wakati anafahamu hakuna kura iliyoibiwa kwa sababu vijana wake wa Red Brigade aliowapa mafunzo ya ulinzi walizilinda kwa umakini kura za CHADEMA/UKAWA.

Mbowe anatakiwa amweleze ukweli Lowassa hasa ikichukuliwa Lowassa alikuwa hafahamu mikakati ya CHADEMA katika kuzilinda kura ambazo pia zimemwezesha Mbowe kurudi tena bungeni.

Kama anachokisema Mbowe siyo ulaghai kwa Lowassa, basi inabidi awaambie pia wabunge wote wa CHADEMA/UKAWA wayakatae matokeo yote ya uchaguzi, hii ni pamoja na matokeo ya udiwani na ubunge. Wasiingie bungeni tena ili wawaache wabunge wa CCM waisimamie serikali yao ya Rais Magufuli iliyopatikana kwa wizi wa kura za Lowassa!

Kuingia bungeni na kuanza kuisimamia serikali ya Rais ambaye amepatikana kwa wizi wa kura ni kumlaghai na kumuhujumu Lowassa.

Gazeti la Nipashe la 10th February 2015 lilimnukuu Mbowe akisema,
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema kimejipanga kuhakikisha katika uchaguzi Mkuu hawaibiwi kura.

Kauli hiyo ilitolewa jana na Mwenyekiti wa chama hicho, Freemon Mbowe wakati akizindua mafunzo ya Kikosi cha Ulinzi na Usalama cha chama hicho (Red Brigade), kwa vijana 200 wa Kanda ya Kati pamoja na Kikosi maalum cha Karate.

?Katika uchaguzi huu hatutaki kulalamika tena kwamba tumeibiwa kura na tutahakikisha tutaomba kura kwa wananchi na tutazilinda,? alisema Mbowe.

Alisema endapo watakubali kuibiwa kura maana yake hawapo tayari kuongoza.

Mbowe aliwataka vijana hao wa Brigade kutokukilinda chama peke yake bali pia kiwe chachu ya ulinzi kwa jamii inayowazunguka kwenye maeneo yao. Alibainisha kuwa Chadema kitaendelea kutoa mafunzo ya ulinzi kwa vijana nchi nzima.

"Vijana hawa lazima wajenge moyo wa kujitolea, chama kilijengwa na watu wenye moyo huo ambao baadhi walipata madhara mbalimbali ikiwamo kupoteza maisha,? alisema Mbowe.

Alisema wajenge sifa ya kuwa wakombozi wa Taifa na malipo mengine siyo lazima walipwe hapa duniani bali watapata kwa Mungu.
Hizi ni baadhi ya thread nyingi zilitueleza mikakati ya Mbowe na CHADEMA katika kuzilinda kura za Uchaguzi Mkuu,
 
Kuna kitu huwa nawaza. Niseme ukweli nilimfahamu Mbowe mwaka 2005 lakini mpaka leo huwa namchukulia Mbowe ni mtu fulani hivi mroho na mwenye tamaa. Kama watakuwepo wenye kumfahamu huyu mtu katika ukuaji wake na alikopita kote alikuwa ni mtu wa aina gani, hii inaweza kutusaidia sana ...tunaomba tumfahamu Mbowe haswa katika kipindi kati ya 1970 - 1990.
 
Nyumbu wanaulizana waanzaje kutukana hahaha
 
Msemaji Ukweli acha uchonganishi wako. Mheshimiwa Mbowe kamwe hamlaghai Mheshimiwa Lowassa. Hebu tueleze ni kwa nini jeshi la polisi lilikwenda kuwakamata vijana waliokuwa wakijumuisha idadi ya kura wale wa chadema na wale wa LHRC lakini ikawaacha wale wa CCM wakiendelea na majumuisho. Sio siri kwamba kura halali walizopata chadema na ukawa ni nyingi lakini kwa kuwa tu hatuna tume huru ya uchaguzi yaliyofanyika yamefanyika na hakuna pahala pa kupinga. kama mnayo dhamira ya dhati ya kuimarisha demokrasia basi tuirejee katiba tuirekebishe ili tume iwe huru.
Mwanzoni mwa mwaka huu tulishuhudia Mwenyekiti wa CHADEMA-Taifa, Freeman Mbowe akizunguka sehemu mbali mbali nchini kuzindua vikosi vya vijana wanaoitwa Red Brigade kwa ajili ya kuwaandaa kukilinda chama na kuzuia wizi wa kura kwenye Uchaguzi Mkuu.

Mbowe alienda mbali zaidi na kudai CHADEMA imejipanga katika Uchaguzi Mkuu na hakutakuwa na wizi wa kura hata moja.

Kwa sasa Mbowe anamwaminisha Lowassa kwa kumwambia ameibiwa kura wakati anafahamu hakuna kura iliyoibiwa kwa sababu vijana wake wa Red Brigade aliowapa mafunzo ya ulinzi walizilinda kwa umakini kura za CHADEMA/UKAWA.

Mbowe anatakiwa amweleze ukweli Lowassa hasa ikichukuliwa Lowassa alikuwa hafahamu mikakati ya CHADEMA katika kuzilinda kura ambazo pia zimemwezesha Mbowe kurudi tena bungeni.

Kama anachokisema Mbowe siyo ulaghai kwa Lowassa, basi inabidi awaambie pia wabunge wote wa CHADEMA/UKAWA wayakatae matokeo yote ya uchaguzi, hii ni pamoja na matokeo ya udiwani na ubunge. Wasiingie bungeni tena ili wawaache wabunge wa CCM waisimamie serikali yao ya Rais Magufuli iliyopatikana kwa wizi wa kura za Lowassa!

Kuingia bungeni na kuanza kuisimamia serikali ya Rais ambaye amepatikana kwa wizi wa kura ni kumlaghai na kumuhujumu Lowassa.

Gazeti la Nipashe la 10th February 2015 lilimnukuu Mbowe akisema,

Hizi ni baadhi ya thread nyingi zilitueleza mikakati ya Mbowe na CHADEMA katika kuzilinda kura za Uchaguzi Mkuu,
 
Kuna kitu huwa nawaza. Niseme ukweli nilimfahamu Mbowe mwaka 2005 lakini mpaka leo huwa namchukulia Mbowe ni mtu fulani hivi mroho na mwenye tamaa. Kama watakuwepo wenye kumfahamu huyu mtu katika ukuaji wake na alikopita kote alikuwa ni mtu wa aina gani, hii inaweza kutusaidia sana ...tunaomba tumfahamu Mbowe haswa katika kipindi kati ya 1970 - 1990.
Mbowe ni political entrepreneur!
 
Mmejitekenyaaaaa mkachekaaaaa.. Lakini nitaendelea kumtambua shujaa Mbowe katika siasa za nchi hii. Huu ulikuwa mwaka mbaya sana kwa ccm, Siasa za Mbowe zimekausha hazina ya CCM, mmekopa Billions of money kutoka kwa wafanyabiashara. Mmekopa kutoka CWT billion 50, ili kupambana na Ukawa na Mbowe. Viva Mbowe my hero.
 
Nyumbu wanaulizana waanzaje kutukana hahaha
Siyo hivyo tu, bali wale waliokuwa wanalipwa na mzee mamvi vibarua vimeota majani, ndiyo maana matusi yamepungua kwa kiwango cha juu
 
Msemaji ukweli mbona mkuu unatafuta sifa? Hayo maneno unaweza kuyathibitisha mahakamani? Kumbuka makosa ya mtandao Sheria imepamba moto mkuu
 
Msemaji Ukweli acha uchonganishi wako. Mheshimiwa Mbowe kamwe hamlaghai Mheshimiwa Lowassa. Hebu tueleze ni kwa nini jeshi la polisi lilikwenda kuwakamata vijana waliokuwa wakijumuisha idadi ya kura wale wa chadema na wale wa LHRC lakini ikawaacha wale wa CCM wakiendelea na majumuisho. Sio siri kwamba kura halali walizopata chadema na ukawa ni nyingi lakini kwa kuwa tu hatuna tume huru ya uchaguzi yaliyofanyika yamefanyika na hakuna pahala pa kupinga. kama mnayo dhamira ya dhati ya kuimarisha demokrasia basi tuirejee katiba tuirekebishe ili tume iwe huru.
Kama nitakubaliana na hoja yako ina maana uchaguzi ni batili na serikali ya Rais Magufuli ni batili. Fine!

Kama kweli serikali ya Rais Magufuli ni batili basi wabunge wa CHADEMA/UKAWA wasiingie bungeni kuisimamia serikali ya Rais Magufuli ambayo ni batili. Kuisimamia serikali batili ni kuharalisha ubatili!

Nadhani unafahamu kazi ya bunge ni kuisimamia serikali.
 
Kuna kitu huwa nawaza. Niseme ukweli nilimfahamu Mbowe mwaka 2005 lakini mpaka leo huwa namchukulia Mbowe ni mtu fulani hivi mroho na mwenye tamaa. Kama watakuwepo wenye kumfahamu huyu mtu katika ukuaji wake na alikopita kote alikuwa ni mtu wa aina gani, hii inaweza kutusaidia sana ...tunaomba tumfahamu Mbowe haswa katika kipindi kati ya 1970 - 1990.
mimi namfahamu mbowe tangu bado anacheza breakdancer pale kwenye ukumbi wao wa miziki miaka ya 80,
ni mchezashoo mzuri sana
 
kitu ambacho watu hawajajua ni kuwa chaguzi za nyuma fisiem walikuwa na watu maalum wa kutoroka na kubadilisha mabox ya kura.
wakati mwingine walikuwa wanawajeruhi hata wasimamizi ili kukimbia na box na kuweka mengine.
mwaka huu wameiba electronically ndio maana hamuelewi nini kimeendelea
 
Mwanzoni mwa mwaka huu tulishuhudia Mwenyekiti wa CHADEMA-Taifa, Freeman Mbowe akizunguka sehemu mbali mbali nchini kuzindua vikosi vya vijana wanaoitwa Red Brigade kwa ajili ya kuwaandaa kukilinda chama na kuzuia wizi wa kura kwenye Uchaguzi Mkuu.

Mbowe alienda mbali zaidi na kudai CHADEMA imejipanga katika Uchaguzi Mkuu na hakutakuwa na wizi wa kura hata moja.

Kwa sasa Mbowe anamwaminisha Lowassa kwa kumwambia ameibiwa kura wakati anafahamu hakuna kura iliyoibiwa kwa sababu vijana wake wa Red Brigade aliowapa mafunzo ya ulinzi walizilinda kwa umakini kura za CHADEMA/UKAWA.

Mbowe anatakiwa amweleze ukweli Lowassa hasa ikichukuliwa Lowassa alikuwa hafahamu mikakati ya CHADEMA katika kuzilinda kura ambazo pia zimemwezesha Mbowe kurudi tena bungeni.

Kama anachokisema Mbowe siyo ulaghai kwa Lowassa, basi inabidi awaambie pia wabunge wote wa CHADEMA/UKAWA wayakatae matokeo yote ya uchaguzi, hii ni pamoja na matokeo ya udiwani na ubunge. Wasiingie bungeni tena ili wawaache wabunge wa CCM waisimamie serikali yao ya Rais Magufuli iliyopatikana kwa wizi wa kura za Lowassa!

Kuingia bungeni na kuanza kuisimamia serikali ya Rais ambaye amepatikana kwa wizi wa kura ni kumlaghai na kumuhujumu Lowassa.

Gazeti la Nipashe la 10th February 2015 lilimnukuu Mbowe akisema,

Hizi ni baadhi ya thread nyingi zilitueleza mikakati ya Mbowe na CHADEMA katika kuzilinda kura za Uchaguzi Mkuu,

Kura zililindwa sana tu wala sio kidogo.

Naomba ieleweke wazi kuwa zoezi zima la upigaji Kura na uhesabuji Kura ulikwenda vizuri Lakini ulipofika Makao makuu ya Tume ya Uchaguzi kwaajili ya ujumlishaji wa Kura Za Rais, ndipo penye tatizo la ujumlishaji na uchakachuaji ambako Redbrigade hawamo mle!

Ulitaka Mbowe afanye nini katika mazingira kama hayo. Maana nakala halisi za matokeo ya Rais walizonazo Mawakala wa CHADEMA yana matokeo tofauti sana yale yalokua yakitangazwa na Tume ya Lubuva.

Ukweli na Uhakika wa Haya ninayoyaeleza ni pale Polisi walipovamia Vituo vya kujumlisha matokeo ya Urais vya LHRC na vya CHADEMA. Kulikua na ulazima gani Polisi kuvamia maeneo hayo kama sio mkakati wa serikali ya ccm kuondoa ushahidi maana walishajiandaa kuchakachua matokeo?

Acha upuuzi usilete siasa nyepesi za jiko la mamako hapa jamvini...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom