Cicadulina
JF-Expert Member
- Sep 8, 2015
- 1,013
- 2,451
Kama wewe utakavyoingia huko na kuungua pasipo mwisho kwa sababu ya dhambi ya chuki uliyopandikizwa na wenzako huku wao wakiendesha biashara zao kupitia ulingo wa siasa!Kwani mwendakuzimu anasemaje huko jehanamu aliko?
Kwa hyo suala la katiba mpya hiyo hoja wameidandia kutoka kwa waziri gn?Ukishakuwa na chama ambacho hakina malengo ila kinadandia kila wanalokutana nalo mbele ujue hamna chama hapo....chadema kama wako serious wawe na malengo wanayotaka kuyafanikisha ndo wayalete kwa wananchi. Sio kuvizia hotuba za viongozi na mawaiziri ndo wanakomalia HIYO HAIWEZI KUWAJENGA KAMA CHAMA
Tusubiri hilo taifa,tutakutana humu kama alihutubia taiga au nyaniAtalihutubia taifa gani??
Matamko kila mkionewa..!Mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe kesho saa 5 asubuhi atalihutubia taifa kutokea jijini Mwanza.
Taarifa rasmi ya Bawacha imesema Mbowe ataelezea muelekeo wa chama katika kudai katiba mpya
Wakati huo huo taarifa zisizo rasmi zinadai wanachama wote wa Chadema waliokamatwa na polisi jana wakijiandaa kwa kongamano la katiba mpya leo wameachiliwa bila masharti yoyote.
Nawasalimu kwa jina la JMT!
Suala la katiba linapaswa kuwa hitaji la wananchi sio chama cha siasa.....wanachokitafuta chadema sio katiba mpya bali ni urahisi wa kushika dola.Kwa hyo suala la katiba mpya hiyo hoja wameidandia kutoka kwa waziri gn?
Atalihutubia kupitia vyombo gani vya habari? Hana uwezo huo. Ataishia kwenye luninga za askofu mwamakula online tv!Ndio bwashee!
Kesho usinywe kimpumu umsikilize mwenyekiti.
Naona una ruka ruka tu! Jibu swali niliokuuliza hpo juuSuala la katiba linapaswa kuwa hitaji la wananchi sio chama cha siasa.....wanachokitafuta chadema sio katiba mpya bali ni urahisi wa kushika dola.
Jf!Atalihutubia kupitia vyombo gani vya habari? Hana uwezo huo. Ataishia kwenye luninga za askofu mwamakula online tv!
Wamekubaliwa kuendelea na Kongamano?Wakati huo huo taarifa zisizo rasmi zinadai wanachama wote wa Chadema waliokamatwa na polisi jana wakijiandaa kwa kongamano la katiba mpya leo wameachiliwa bila masharti yoyote.
NdioKulihutubia taifa???
Spika atajibu mwezi November!Mbowe akihutubia
Basi spika atataka kujibu
Waziri mkuu atataka kujibu
Uviccm watataka kumjibu
Mkuu wa mkoa & wilaya watataka kumjibu
Polisi watataka kumjibu