johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 104,319
- 183,600
Mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe kesho saa 5 asubuhi atalihutubia taifa kutokea jijini Mwanza.
Taarifa rasmi ya Bawacha imesema Mbowe ataelezea muelekeo wa chama katika kudai katiba mpya
Wakati huo huo taarifa zisizo rasmi zinadai wanachama wote wa Chadema waliokamatwa na polisi jana wakijiandaa kwa kongamano la katiba mpya leo wameachiliwa bila masharti yoyote.
Nawasalimu kwa jina la JMT!
Taarifa rasmi ya Bawacha imesema Mbowe ataelezea muelekeo wa chama katika kudai katiba mpya
Wakati huo huo taarifa zisizo rasmi zinadai wanachama wote wa Chadema waliokamatwa na polisi jana wakijiandaa kwa kongamano la katiba mpya leo wameachiliwa bila masharti yoyote.
Nawasalimu kwa jina la JMT!