Anaongelea dhamira ya serikali kuhamia dodoma. Amesema serikali haina nia ya dhati kuhamia dodoma. Mfn w/mkuu kuomba fedha kujenga ofisi ya w mkuu dsm lithuri street badala ya dodoma
Anauliza kabla ya uchaguzi waziri wa uratib na bunge alisema karatasi zitachapishwa nchin lakin mkurugezi wa uchaguzi alisema zitachapishwa nje ya nchi. Anataka kujua kampuni gani ilipewa na kwa nin. Pia amependekeza mfuko wa maafa usaidie majanga mbalimbali kama njaa na mengine na silivyo sasa.
Shibuda ameenda kwenye kiti cha lowasa cjui wanajadili nn. Anaongelea mauji ya polisi kwa rai, haki usawa mbele wa sherehe. Haki ya kupata habari, kuandamana. Mauji wa polisi tarime, mbalali, sumbawanga, nyamango, utupaji wa maiti nyamango,
Shibuda ameenda kwenye kiti cha lowasa cjui wanajadili nn. Anaongelea mauji ya polisi kwa rai, haki usawa mbele wa sherehe. Haki ya kupata habari, kuandamana. Mauji wa polisi tarime, mbalali, sumbawanga, nyamango, utupaji wa maiti nyamango,