Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,468
- 113,583
Yes, hata Kuhani, Mchambuzi na Mzee Mwanakijiji ni mara moja moja sana tena kwa hoja nyepesi nyepesi!.Woman of substance, or what! 😆😆😆
P
Yes, hata Kuhani, Mchambuzi na Mzee Mwanakijiji ni mara moja moja sana tena kwa hoja nyepesi nyepesi!.Woman of substance, or what! 😆😆😆
Kwani Chadema haina ofisi ?Mbona hajajenga hata ofisi ya chama kama kweli ni bilionea aliyejitolea kusaidia watu???
JF imekua na kupanuka. Sasa hivi ni kama kokoro. Limejaa samaki na kila takataka za baharini.Yes, hata Kuhani, Mchambuzi na Mzee Mwanakijiji ni mara moja moja sana tena kwa hoja nyepesi nyepesi!.
P
bilionea katangazwa kwenye gazeti la Sunday News!!!bilionea katangazwa na nani bilionea anakula ruzuku bilionea anag'ang'ania uwenyekiti wa milele bilionea wa wamachinga
Mzee Mbowe aliiba Mali za Umma kisa tu ya uswahiba wake na Baba wa Taifa!!!Mtu anayemiliki biashara ya hotel na uwekezaji nje ya nchi (Dubai) unadhani anakosa vibilioni kadhaa?
Tuache wivu usio na msingi. Familia yao tu kina Mbowe ni familia yenye ukwasi wa kutosha tu. Mzee Mbowe alikuwa tajiri mkubwa tu nchini kabla ya kuwaachia mali familia.
Kwa hiyo wwe Sasa hivi Kamanda Mbowe akisema Kama Mwenyekiti Wana CDM muuingie road unaingia au siyo!!!?Kweli asiyejijua hata umsaidieje hatajielewa. Umasikini wako usikupande hadi kwenye ubongo
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Ndiyo, Mbowe kaenda msibani?kaenda kuhubiri au ?
Mbona hakuambatana na Asenga ,Lema na Mrema ?View attachment 2374155
Bilionea Mbowe , ambaye pia ni Mwekezaji na Mfanyabiashara wa Kimataifa , ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema, Tajiri aliyejitolea kusaidia Watanzania kupitia Siasa , Amewasili Katika Jiji la Philadelphia nchini Marekani.
Taarifa zinadokeza kwamba pamoja na mambo mengine , Mbowe atahudhuria Mazishi ya Mpwa wake tarehe 1/10/202 , baada misa itakayofanyika Jijini humo .
Kabla ya Dharula hii Mbowe alipangiwa kuwa Mgeni Rasmi kwenye Siku ya kidunia ya Wazee ambayo imefanyika Dodoma Tanzania, ambako ilitarajiwe Ahutubie Taifa.
Bilionea?mbona hasaidii chama kujenga ofisi hadi wamepanga ofisi za chama nyumbani kwa mtu ?View attachment 2374155
Bilionea Mbowe , ambaye pia ni Mwekezaji na Mfanyabiashara wa Kimataifa , ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema, Tajiri aliyejitolea kusaidia Watanzania kupitia Siasa , Amewasili Katika Jiji la Philadelphia nchini Marekani.
Taarifa zinadokeza kwamba pamoja na mambo mengine , Mbowe atahudhuria Mazishi ya Mpwa wake tarehe 1/10/202 , baada misa itakayofanyika Jijini humo .
Kabla ya Dharula hii Mbowe alipangiwa kuwa Mgeni Rasmi kwenye Siku ya kidunia ya Wazee ambayo imefanyika Dodoma Tanzania, ambako ilitarajiwe Ahutubie Taifa.
Sawa, mlipaji wa chawa wote wa chadema. Sasa wewe ndo billionaire wa kweli.Chawa wote wanalipwa , Mimi nailipa Chadema kama gharama ya ukombozi nakuaje chawa ?
Maryland na Pennsylvania (Philadelphia) wapi na wapi. Huyo wa Maryland ni Mura na ni shemeji wa Kamanda.Mpwa ni mtoto wa dada, anamuita Mbowe mjomba, ni ndugu wa kikeni, hivyo hawezi jua baba ni wa wapi. Nimeishi Maryland jirani na dada wa Freeman kuolewa US .
P
sijawa bilionea Mkubwa sana , lakini kuhusu hela Alhamdulillah .Sawa, mlipaji wa chawa wote wa chadema. Sasa wewe ndo billionaire wa kweli.
JKipaji.Kumbe Kamanda Mbowe familia yake yote inaishi USA alafu anatushawishi sisi walala hoi huku Nyumbani Tanzania tuandamane ili tupigwe virungu!? Sasa tumesanuka!!
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Kuna watu wanashobokea sana kuishi ulaya haswa makabila fulani mawili, kwa sisi Kanda ya Ziwa, kuishi ulaya kwetu sio dili kivile!. Kwetu sisi deal ni kuzi make huku tukipata mambo yetu yale!, ulaya hayapo!.
P
No mimi sijataja makabila, ila kuna makabila fulani mawili, wako tayari kuwa watumwa wa wazungu ás long as uko ulaya kuliko kuwa mtu huru nchini kwako!.Usije ukasema Wahaya na Wachaga
People moves!. Kamanda ana madada wangapi walioolewa Marekani?.Maryland na Pennsylvania (Philadelphia) wapi na wapi. Huyo wa Maryland ni Mura na ni shemeji wa Kamanda.