Zawadi B Lupelo
JF-Expert Member
- Jul 19, 2015
- 2,549
- 3,722
Mwenyekiti wa CHADEMA Mh Freeman Mbowe amemuonya Rais Magufuli kuhusu kauli zake na majibu ya dharau kwa wapiga kura ambayo amekuwa akiyatoa. Mbowe ameyasema hayo jana alipokuwa anahutubia wapiga kura wake Hai mkoani Kilimanjaro
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app