Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,709
- 272,611
Hii ndio Taarifa ya Sasa inayozunguka mitandaoni, kwamba Muasisi wa Chadema, Edwin Mtei amepata Msiba wa Mdogo wake, hivyo baadhi ya Wadau wameshiriki katika kuwapa faraja Wafiwa.
Pichani ni Freeman Mbowe akiwa na Viongozi wastaafu na wa sasa wa Chadema, wakishiriki jambo hilo la kibinadamu
Pichani ni Freeman Mbowe akiwa na Viongozi wastaafu na wa sasa wa Chadema, wakishiriki jambo hilo la kibinadamu