Freeman Mbowe aombwe msamaha

Freeman Mbowe aombwe msamaha

Ukatili_%23ChangeTanzania.jpg
 
Nimekutana na wazee was PGO wastaafu ni mabalozi nyumba kumi na wengine wenyeviti mkoa ila walikuwa RPCs
 
KaKweli kabisa pamoja familia yake, CDM na Watanzania kwa ujumla. Ili kauli ya Mama iwe na mashiko " Tusahau yaliyopita tuanze ukurasa mpya..."
Kauli ya Mh Rais kuwa tusahau yaliyopita ni maombi ya msamaha kwa kupandisha mabega. Unajua umemjeruhi mtu halafu unamuomba msamaha huku umemfunga pingu halafu kwa kejeli.
Kauli yake ingekuwa na dhamiri njema isiyobeba jeuri ya madaraka ni nzuri na inatia moyo. Rais wetu namuona ana dhamiri njema ila kuna msukumo nyuma yake toka kwa wahafidhina ndani ya chama chake na serikalini.
Mheshimiwa Rais wangu dhamiri yako ikiifuata na kuitii ndio itakayokuweka huru na kukupatanisha na Mungu wako. Kindly heed to your internal commands milango yote ya baraka itakufungukia. Hutapata kazi kujinadi uchaguzi ujao na utaweka kumbukumbu kimataifa.
 
Siku zote msamaha anaombwa aliyekosewa.
, lakini bado kitambo kidogo, ushindi wa haki utapatikana.

Rais Samia anasema tusahau yaliyopita, tuanze upya.
Kama ulivyosema, bado kitambo kidogo, haya yatakwisha. Mama ni mtu wa huruma, amesema kusamehe kupo, mtu akiisha kuwa na roho ya kusamehe anasame tuu bila hata kuombwa msamaha.

Wale wafungwa wanaotolewaga kwa msamaha wa rais, huwa wanasamehewa tuu bila hata kuomba msamaha.

Vivyo hivyo kwa Mbowe, hili litafanyika.
P
 
Back
Top Bottom