johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,934
- 141,906
Ikumbukwe Bilionea Freeman Mbowe ni Mwenyekiti wa Chama Kikuu cha Upinzani CHADEMA.
Ikumbukwe pia Freeman Mbowe kama Mwenyekiti wa CHADEMA alitangaza Operesheni UKUTA.
Iwe kwenye kumbukumbu kwamba ile Operesheni ilizuiwa na serikali na CHADEMA walibisha lakini wakadhibitiwa kila kona ya nchi.
Sisi Wadau wa Bills tulipokwenda kula Bata ile week end tukapigwa na butwaa kukuta badala ya Jengo la Club kuna kifusi.
Tuliumizwa sana kwa sababu Mbowe Hotels iliyozaa Club Billicanas ilikuwa ndio Jiji la DSM.
Je, Bilionea Freeman Mbowe atadai mali zake?
Jumaa kareem!
Ikumbukwe pia Freeman Mbowe kama Mwenyekiti wa CHADEMA alitangaza Operesheni UKUTA.
Iwe kwenye kumbukumbu kwamba ile Operesheni ilizuiwa na serikali na CHADEMA walibisha lakini wakadhibitiwa kila kona ya nchi.
Sisi Wadau wa Bills tulipokwenda kula Bata ile week end tukapigwa na butwaa kukuta badala ya Jengo la Club kuna kifusi.
Tuliumizwa sana kwa sababu Mbowe Hotels iliyozaa Club Billicanas ilikuwa ndio Jiji la DSM.
Je, Bilionea Freeman Mbowe atadai mali zake?
Jumaa kareem!