Freeman Mbowe akutana na Askofu Bagonza

Freeman Mbowe akutana na Askofu Bagonza

Kwahiyo kila akikutana na mtu mtakuwa mnasambaza habari? Acheni Mama ajenge Tanzania, tumechelewa saana
 
Ila CCM isipotumia ukatili kama wakati wa yule mjukuu wa shetani, kazi wanayo.
Njia pekee ya kuishinda CHADEMA ni kuondoa haki katika uchaguzi tu basi.
Watu wapo CCM ili kuchota pesa tu wakati wale waliopo CHADEMA ni wenyeuchungu wa haki, watu waliokutana na madhila ya watawala, hivyo ni wanao jitoa zaidi ili kujikomboa.
Kifupi, CCM bila dola ( polisi, jeshi, Tiss na tume ya uchaguzi) hakina nguvu ya kuishinda CHADEMA chenye wafuasi wenye ari isiyo na thamani ya fedha.
 
View attachment 2164397

Hii ndio taarifa mpya kwa sasa , ambayo tunaisambaza tena kwenu wadau , kwamba Askofu Bagonza leo Amekutana na Mwamba wa siasa za Tanzania na kuteta naye machache .

Bado haijafahamika kilichozungumzwa , bali tetesi zinaonyeshwa kwamba masuala ya KATIBA MPYA na TUME HURU ya uchaguzi yamejadiliwa .
Gaidi na mvunja katiba baba Askofu Bagoza
 
View attachment 2164397

Hii ndio taarifa mpya kwa sasa , ambayo tunaisambaza tena kwenu wadau , kwamba Askofu Bagonza leo Amekutana na Mwamba wa siasa za Tanzania na kuteta naye machache .

Bado haijafahamika kilichozungumzwa , bali tetesi zinaonyeshwa kwamba masuala ya KATIBA MPYA na TUME HURU ya uchaguzi yamejadiliwa .

View attachment 2164397

Hii ndio taarifa mpya kwa sasa , ambayo tunaisambaza tena kwenu wadau , kwamba Askofu Bagonza leo Amekutana na Mwamba wa siasa za Tanzania na kuteta naye machache .

Bado haijafahamika kilichozungumzwa , bali tetesi zinaonyeshwa kwamba masuala ya KATIBA MPYA na TUME HURU ya uchaguzi yamejadiliwa .
Wasisahau kuzungumzia na Mgogoro wa Dayosisi ya Konde!
 
Back
Top Bottom