Freeman Mbowe akutana na Askofu Bagonza

Freeman Mbowe akutana na Askofu Bagonza

View attachment 2164397

Hii ndio taarifa mpya kwa sasa , ambayo tunaisambaza tena kwenu wadau , kwamba Askofu Bagonza leo Amekutana na Mwamba wa siasa za Tanzania na kuteta naye machache .

Bado haijafahamika kilichozungumzwa , bali tetesi zinaonyeshwa kwamba masuala ya KATIBA MPYA na TUME HURU ya uchaguzi yamejadiliwa .
Walutheri mmeamua. Wakatoliki wanabaki na CCM
 
View attachment 2164397

Hii ndio taarifa mpya kwa sasa , ambayo tunaisambaza tena kwenu wadau , kwamba Askofu Bagonza leo Amekutana na Mwamba wa siasa za Tanzania na kuteta naye machache .

Bado haijafahamika kilichozungumzwa , bali tetesi zinaonyeshwa kwamba masuala ya KATIBA MPYA na TUME HURU ya uchaguzi yamejadiliwa .
Hiyo ndiyo kazi iliyo tufanya na kuendelea kutufanya tumuamini huyu mwamba wa siasa hapa nchini.
 
Kwani kuna shida gani makamanda kukutana na Samia, na wao wenyewe kukutana ili kupeana mrejesho? Hata mr #dishlimetilt pia alikutana na Samia!
Nakuona mfuasi wa mzimu unavyoteseka ukiwa burigi
 
Haki na kweli....vikitamalaki tutakuwa huru na amani tele....tena hakina na kweli kweli
 
View attachment 2164397

Hii ndio taarifa mpya kwa sasa , ambayo tunaisambaza tena kwenu wadau , kwamba Askofu Bagonza leo Amekutana na Mwamba wa siasa za Tanzania na kuteta naye machache .

Bado haijafahamika kilichozungumzwa , bali tetesi zinaonyeshwa kwamba masuala ya KATIBA MPYA na TUME HURU ya uchaguzi yamejadiliwa .
Mbowe ajiangalie sana maaskofu wengine ni wahuni tu!
 
Wote ni makamanda, sasa cha ajabu hapo ni nini? Kwani kwenye maadhimisho ya siku ya wanawake kule Iringa hawakukutana?
Walikutana na walihutubia kila mtu alilitumia jukwaa.

Hawa maaskofu nao kuna wa Michongo-siasa mkuu @Umkonthowesizwe
JamiiForums1082270709.jpg
FB_IMG_1646302822928.jpg
FB_IMG_1646304118714.jpg
FB_IMG_1646302811224.jpg
 
Back
Top Bottom