Freema Mbowe, uliwafanya nini CCM?

Freema Mbowe, uliwafanya nini CCM?

Ndio maana nimekwambia CHADEMA ni watu na watu ni CHADEMA na wala sijasema Mbowe ni CHADEMA au CHADEMA ni mbowe.

Teh teh teh tihiii
unatudanganya bana, kama mbowe siyo chadema itisheni uchaguzi wa mwenyekiti ndani ya chadema muone nini kitatokea.
sijui hiyo demokrasia wanayojiita (chadema) iko wapi!!!?
 
Back
Top Bottom