Freema Mbowe, uliwafanya nini CCM?

Freema Mbowe, uliwafanya nini CCM?

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
52,196
Reaction score
162,723
Kamanda wa anga, Mh.Mbowe, hawa ma-CCM uliwafanya nini?

Vyama vya upinzani viko vingi, lakini wenyeviti wa vyama hivi hatusikii wakiandamwa kama wewe.Tatizo ni nini?

Ungekuwa unapenda cheo, hivi hata uwaziri mkuu wasingekupa mradi tu uondoke CHADEMA?

Jamani, CHADEMA ni chama cha watu, hivyo ukitaka kukiua, ua kwanza watu kama utaweza na ukishindwa, basi jiunge nacho vinginevyo utapata tabu sana.

Hata hawa wanaojiuzulu na kuhama;wengi kama sio wote, bila udhamini wa CHADEMA kwenye uchaguzi mkuu wa 2015; wasingeshinda hizo nafasi.

Acheni kutwanga maji kwenye kinu, mnapoteza muda na nguvu zenu bure!

All you can do ni kuchelewesha tu mabadiliko lakini kamwe si kuyazui.

CHADEMA ni watu, na watu ni CHADEMA.
 
Ujinga ni kuaminisha watu kuwa bila Mbowe hakuna Chadema .....sawa kusema bila Magufuli Tanzania haiwezi kuendelea...

Tujikite kuamini Taasisi sio watu..
Ndio maana nimekwambia CHADEMA ni watu na watu ni CHADEMA na wala sijasema Mbowe ni CHADEMA au CHADEMA ni mbowe.
 
Tatzo waliamini kila chama kipo kipropoganda ili waendelee kupata misaada ya mabwanyenye.
Imekuwa tofauti baada ya kuibuka upinzani wa kweli kutoka moyoni si ule wa akina Mlema wa kuigiza.
Na walistuka zaidi baada ya kina Zito kutolewa kule CDM na kubaki chadema kama chadema isio na matuta hapo ndo waliona hesabu zao ziko vibaya.
Ndio maana unaona hamahama hiyo ni plan B baada ya kuona Plan A imeshindwa kwa kutaka kuinua ACT kuwa mbadala wa Chadema

Ebana eeh naogopa wait Land Rover naishia hapa tafadhali na siasa sio jadi yangu
 
Nyie ni wajinga wote mnaolaumu chadema. Hao wengine wooote vipi? Wako wapi!
Kama speaker, jaji mkuu, mkuu wa NEC, polisi, wabunge wa ccm wote, mawaziri, takukuru, wananchi wote, wote wamelala chali wanaendeshwa puti puti unataka chadema wauawe kwa niaba yako???
 
Tatzo waliamini kila chama kipo kipropoganda ili waendelee kupata misaada ya mabwanyenye.
Imekuwa tofauti baada ya kuibuka upinzani wa kweli kutoka moyoni si ule wa akina Mlema wa kuigiza.
Na walistuka zaidi baada ya kina Zito kutolewa kule CDM na kubaki chadema kama chadema isio na matuta hapo ndo waliona hesabu zao ziko vibaya.
Ndio maana unaona hamahama hiyo ni plan B baada ya kuona Plan A imeshindwa kwa kutaka kuinua ACT kuwa mbadala wa Chadema

Ebana eeh naogopa wait Land Rover naishia hapa tafadhali na siasa sio jadi yangu
Wanatakiwa warudi darasani wakajifunze siasa ni nini maana wanafikiri siasa ni vita na mababu na si kuwa karibu na wananchi.
 
Ngoja uone uchaguzi wa Oktoba 13 kama matapata hata asilimia 20 ya waliojiandikisha.

Kama kweli wanampenda Jiwe, basi tutaona misururu mirefu kwenye polling stations ikiwa ni ishara ya kuunga mkono juhudi.
Kweli kabisa mfano jimbo la kinondoni waliandika watu zaidi ya laki 2 lakin waliopiga kura ni robo.Watu aashajua kupiga kura ni kupoteza muda.Na kwa kweli 2020.kura zote nchi nzima zinaweza kuwa milion 5 tu.Kila mtu anapambana kupata chochote cha kumfaidisha.Sio kweli kwamba Magufuli au Ccm inapendwa.Nimefanya utafiti watu wengi wanavinyongo ila wanapiga maisha yanasonga.Watu wamepoteza iman na wanasiasa na ccm pia.Fikiria zaidi ya 30%ya wasomi hawana ajira rasmi.

Ili kupata maendeleo ya binafsi tuache kutegemea wanasiasa.Japo wanasiasa wanatuamulia maisha yetu ila wanajijari wao wenyewe.
 
Mbowe ameiua ccm ndio maana anaandamwa na polisi wanaotumwa na viongozi , hata hawa wanaccm wanaopayuka humu jf wanafahamu kwamba hakuna ccm bali kuna Magufuli , Makonda na Polepole , wala Samia na Bashiru hawamo .

Wenye akili ambao hawachumii tumbo kama Mwandosya na Kinana walishajiondoa kitambo mno !
 
Kamanda wa anga, Mh.Mbowe, hawa ma-CCM uliwafanya nini?

Vyama vya upinzani viko vingi, lakini wenyeviti wa vyama hivi hatusikii wakiandamwa kama wewe.Tatizo ni nini?

Ungekuwa unapenda cheo, hivi hata uwaziri mkuu wasingekupa mradi tu uondoke CHADEMA?

Jamani, CHADEMA ni chama cha watu, hivyo ukitaka kukiua, ua kwanza watu kama utaweza na ukishindwa, basi jiunge nasi.

Hata hawa wanaojiuzulu na kuhama;wengi kama sio wote, bila udhamini wa CHADEMA kwenye uchaguzi mkuu wa 2015; wasingeshinda hizo nafasi.

Acheni kutwanga maji kwenye kinu, mnapoteza muda na nguvu zenu bure!

All you can do ni kuchelewesha tu mabadiliko lakini kamwe si kuyazui.

CHADEMA ni watu, na watu ni CHADEMA.
Kile kipigo cha mbwa koko 2015 (ccm 30% CDM 70%) kiliwachanganya
 
Kamanda wa anga, Mh.Mbowe, hawa ma-CCM uliwafanya nini?

Vyama vya upinzani viko vingi, lakini wenyeviti wa vyama hivi hatusikii wakiandamwa kama wewe.Tatizo ni nini?

Ungekuwa unapenda cheo, hivi hata uwaziri mkuu wasingekupa mradi tu uondoke CHADEMA?

Jamani, CHADEMA ni chama cha watu, hivyo ukitaka kukiua, ua kwanza watu kama utaweza na ukishindwa, basi jiunge nasi.

Hata hawa wanaojiuzulu na kuhama;wengi kama sio wote, bila udhamini wa CHADEMA kwenye uchaguzi mkuu wa 2015; wasingeshinda hizo nafasi.

Acheni kutwanga maji kwenye kinu, mnapoteza muda na nguvu zenu bure!

All you can do ni kuchelewesha tu mabadiliko lakini kamwe si kuyazui.

CHADEMA ni watu, na watu ni CHADEMA.
pia wakumbuke hao wavulana wameonekana baada ya ✌ ✌ kuwaweka juu nani angemjua mlevi waitara bila Chadema kumpandisha ligi kuu?
 
Ujinga ni kuaminisha watu kuwa bila Mbowe hakuna Chadema .....sawa kusema bila Magufuli Tanzania haiwezi kuendelea...

Tujikite kuamini Taasisi sio watu..
kwa taarifa yako Mbowe ni chuma cha pua hata usalama wa taifa wanalijua hilo na wanasema ukitaka kuimaliza CHADEMA mazima basi Mbowe atolewe ,hivyo wametengeneza vipropaganda uchwara vya kumtaka mbowe atoke!!
 
Back
Top Bottom