Free Wi-Fi installation services for office and home users

Free Wi-Fi installation services for office and home users

24 Months Contract means ni mkataba unaoingia kati ya Wewe (Mteja) na vodacom (kampuni). Mkataba huo unakuwa wa miaka 2 ambapo wakija kukufungia huduma ya free Wi-Fi installation eg. 5G Mkataba wako utadumu kwa miaka miwili kwasababu hiyo installation unafungiwa free ili kuensure commitment ya mteja, na baada ya miaka miwili unaweza kurenew contract au ukaacha kuitumia generally. Kuhusu malipo ni kama ilivyo kila months utakuwa unalipia na kupata huduma yako baada ya miaka miwili (24 months) utachagua mteja kuendelea au kutoendelea kutokana na mkataba na kampuni as usual. That is means of "24 months".

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Embu fafanua ueleweke.
TZS 115,000/- ni ya wewe kunifungia (installation cost), je kila mwezi nitakua nalipia kiasi gani ?
 
Embu fafanua ueleweke.
TZS 115,000/- ni ya wewe kunifungia (installation cost), je kila mwezi nitakua nalipia kiasi gani ?
Sasahivi Tuko 5G na gharama yake ni hiyo chini hapo, kumbuka installation ni free ila unalipia operation cost za kila mwezi kulingana na chaguo lako la bundle km ilivyooneshwa chini
IMG-20220927-WA0019.jpg


Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Niko Tabata segerea nataka cha 115k
Mkuu wangu karibu Sana ndugu, kwasasa tuko 5G, ile 115k ilikuwa 4G za mwanzo ambapo Sasa tunafanya promotion ya 5G, 120k tunaanzia karibu tukuhudumie au nicheki kwa +255656946198 kwaajiri ya huduma.
Bei na vifurushi vya 5G ni hizi hapa.
IMG-20221007-WA0008.jpg


Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Na kunaitajika waya kuingia ndani? Naomba unipiigie pic router na vifaa vyote nione
 
Back
Top Bottom