Free talk: Mwanamke shtuka!

Ukasafiri ukaniacha mdogo wako
Hahaha, bata langu la ujana silijutii kabisa.
Sikutaka kukimbilia majukumu mpaka pale nilipokaa sawia.
Sasa vijana siku hizi akipata tu 1 or 2 M, baada ya chuo basi anavuta na kademu kake gheto kabisa.
Mimi kuna dogo langu juzi nimelifanyia mnasaha wa nguvu, eti anahudumia vibinti kama yeye ndiyo baba.
 
Akuu! "Sijengi gari wala sinunui nyumba" wala kiwanja sijui biashara wala nini. Ukishakuwa na vitu hivi wanaume wazuri wazuri wanajiuliza mara mbili mbili; wewe unakuwa unagombaniwa na marioo hadi wanakwendea kwa vigagula. Mpaka uje umpate mwanaume mnayelingana au anayekuzidi siyo leo na kuoa hutaki na ukitaka kuolewa basi u-pretend kujishusha. Kwa maisha yenye urefu gani?

Ila haka kaujumbe ka Espy kanawafaa wanawake wote wa kike na wa kiume. Kadunia kameharibika haka!
 
Vizuri.
 
Kuna wale wake za watu kabisa. Mtu anakaa anapewa kila kitu anaona maisha ndo kayamaliza. Nimeshawahi kuona mmama anaishi kwa aibu baada ya mume wake kufa ambae alikua anampa kila kitu. Hata mwanaume akupe kila kitu usipotafuta chako ipo siku utaumbuka.
 
 

Big sis missed you big, haha eti unaendewa kwa vigagula.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…