Jf
Naomba maelekezo juu ya kuanzisha account ya bank online na uweza kuingiza fedha online na kuweza kutoa fedha online.Thanks
Ila sidhani kama unaweza kuingiza pesa Online! wala kutoa ila unaweza kuhamisha pesa,Kuchek Ballance yako na kuprint bank Statement!
Mkuu unataka kuwa full Digital! CRDB wanayo ila mimi imenishinda coz hawana ushirikiano nimekutana na Matatizo kibao but nawaandikia mail unaambiwa haijawa delivered kwa ajili ya sekurity!, Sasol kwel !
Ila sidhani kama unaweza kuingiza pesa Online! wala kutoa ila unaweza kuhamisha pesa,Kuchek Ballance yako na kuprint bank Statement!
Mkuu unataka kuwa full Digital! CRDB wanayo ila mimi imenishinda coz hawana ushirikiano nimekutana na Matatizo kibao but nawaandikia mail unaambiwa haijawa delivered kwa ajili ya sekurity!, Sasol kwel !
Yeah hili swala la PayPal linaniumiza kichwa....Hizi bank za bongo haziangalii dunia ipo wapi wao wanaleta technology za zamani.
haya mambo ya Onlinebanking yapo tangu miaka ya 1990 kwa wenzetu, eti leo ndio tunayasikia tz. kuhusu paypal kenya tayari wana tawi sijui tz itakuwa lini na mabenk hayaoni hili may be baada ya miaka 10 mbele.