Free Diddy Now!

Free Diddy Now!

Didy kesi imeshakuwa nyepesi Sana amefutiwa mashitaka 03 yamebaki mawili .

Ikiwa atafungwa haitozidi miaka 10 kwahiyo sio mbaya Sana.
 
Si walifirwa Kwa ridhaa zao? Yani mijitu legal age inagawa rinda Kwa hiari halafu Diddy ndio wakulaumiwa?

Wazungu waache uonevu bana.

#UgaliForever

#FreeDiddyNow

adriz
Mtt wako angegeuzwa ungeandamana atolewe ?zile ni ritual za watu ndio wanaturudisha chini sana lkn hatuwezi kukataa kukemea hiyo dhambi kwakuwa ni mweusi mwenzetu.....na kuna weusi wa States wanaona weusi wa Africa wanaoishi bara la tatu ni mavi Africa ninayoiombea ingekuwepo ingeleta mapinduzi walau ni ile ya kale ya Kushi Kizazi nilichokiona cha kina Nyerere Kwame kina Mandela ,Mugabe .......Wale wangeungana kuna kitu tungepata,,
 
Tuondoeni tofauti zetu Na Kwa pamoja tuandamane P DIDDY aachiwe awe huru.

Huyu ni kijana wetu mwafrika mweusi mwenzetu. Ni wajibu wetu kumtetea kijana wetu.

Siyo kuandamana tu bali tumkumbuke Katika sala zetu tufunge na kuomba hasa wiki hii tunapoelekea sikukuu ya Ashura kipenzi chetu cha dhati Imam Hussain ibn Ali alivyouwawa kikatili kuutetea na kuulinda uislamu na ubinadamu dhidi ya dhulma na uonevu.

Free Diddy Now. Diddy is innocent.

Diddy is our son.

They don't like a Powerful black man.

#UgaliTheBestFoodForHumanity

#FreeDiddyNow

adriz[/USER
[/QUOTE]
Umetumia fasihi. Wenye akili tu ndoo watakaoelewa unachomaanisha. Hongera kwa kukwepa mkono wa polisi
 
Didy kesi imeshakuwa nyepesi Sana amefutiwa mashitaka 03 yamebaki mawili .

Ikiwa atafungwa haitozidi miaka 10 kwahiyo sio mbaya Sana.
10 mkuu ni parefu. Akitoka Lameck atakuwa amemaliza muhula wake wa Kwanza.
 
Yaani uandamane kwa ajili ya huyo mfiraji,ushindwe kuandamana kwa ajili ya Lissu,anayetaka mageuzi yenye manufaa kwa nchi.Hebu kuwa serious basi.
 
10 mkuu ni parefu. Akitoka Lameck atakuwa amemaliza muhula wake wa Kwanza.
Atatoka na 65 kitu amabacho sio kibaya kuliko kufunguwa life sentence

Jela za marekani MTU kukaa 10 yrs anaweza kwakuwa zina facilities zote muhimu.

Thai's reason aliposikia amefutiwa mashitaka matatu alifurahia Sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom