Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,618
- 27,599
Ahaaa anapewa matibabu akiwa mahabusu ?Kuna rumours kwamba anepelekwa nje ya Uganda kwa matibabu;kuna maDr walimuona akiwa mahabusu pia!Wanahaha kuokoa maisha yake wanajua kifo chake kinaweza kuwasha moto mkubwa UG
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app