Fredy Lowssa aharibu mambo Arusha

Fredy Lowssa aharibu mambo Arusha

aminangalo

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2013
Posts
974
Reaction score
190
Juzi uchaguzi wa chipukizi Arusha mkoa katibu hamasa wa Arusha mkoa Fredy Lowssa alishindwa kuaampaka mwisho baada kutuhumiwa kutoa shilingi milioni mbili ili mgombea wa Monduli ashinde.

Kitendo hicho kimeleta mgawanyo mkubwa kwenye umoja wa vijana na kuiyumbisha kambi ya Lowasa.
 
Umeandika km vile uko kwny marathon!

Lakini kunani hadi uchaguzi wa Chipukizi kutumike fedha?
 
Katibu hamasa wa mkoa!!!!

Vyeo mpaka pande za hamasa!!!!!
 
Mbio zote za nini tulia utupe habari za kueleweka
 
Vyeo kwa magamba kama utitiri mpaka akina mwampamba na shonza wana vyeo
 
Kwani kuandika ukiwa umetulia ili ueleweke unashindwa nini.
 
Back
Top Bottom