Laiti Kama ingekuwa ni mechi ya mpira wa miguu katika ufunguzi wa kampeni za UKAWA basi Mh. Sumaye angekuwa ndie mchezaji bora na nathubutu kusema kwamba kati ya magoli waliyoyapiga UKAWA katika ufunguzi huo Sumaye alifunga magoli manne mazuri na alitoa msaada "assist" ya magoli mengine hivyo Sumaye aliondoka na Hat Trick na kustahili kuondoka na mpira .........