TANZIA Fredrick Shoo (FRESHO) Mmiliki wa Kampuni Tanzu za FRESHO INVESTMENT LIMITED Afariki

Hahaaaa..hapana bhna jamii ya watu wa shinyanga hasa wasukuma wanafahamiana sana koo nyingi zinaingiliana na ni watu wanaopenda undugu na kujumuika pamoja..ndio mana wengi wanafahamiana kwanamna moja ama nyingine..pia mji wa shinyanga sio mkubwa sana...pia mwingiliano wa wageni sio mkubwa..hivyo wengi ni wazawa.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini vichaa wengi sana shytwn,kahama yani mpka unajiuliza ....
 
Hahaaaa..hapana bhna jamii ya watu wa shinyanga hasa wasukuma wanafahamiana sana koo nyingi zinaingiliana na ni watu wanaopenda undugu na kujumuika pamoja..ndio mana wengi wanafahamiana kwanamna moja ama nyingine..pia mji wa shinyanga sio mkubwa sana...pia mwingiliano wa wageni sio mkubwa..hivyo wengi ni wazawa.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Mueleze huyo. Wasukuma tunafahamiana sana. Kwenye misiba mtu unaishi matanda ila unakwenda msibani Mwasele. Ndo maana hata wageni mikoani kwetu wanatoboa kirahisi tu. Hatubagui. Ila kule Moshi mchaga atanunua kwenye duka la mchaga mwenzake kuliko kununua kwenye duka la msukuma lililo karibu yake.
 
Aliiba alimzurumu pesa mzee minzi ambaye alikua meneja wa shirecu..walipiga hela fresho akamzurumu mamilioni..mzee minzi alifungwa alikuja kutoka jela hana moja wala mbili..kwenda kwa fresho kumuomba ampe suport ya maisha fresho alimtishia kumuua..mzee minzi alibidi aokoe awe mlokole mana ilibaki kidogo afe kwa stresss za maisha.

Wachaga wengi mali zao niza wizi na dhuluma.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee minzi namfahamu kumbe ilikuwa hvyo tena? Da hatari sana
 
Aliiba alimzurumu pesa mzee minzi ambaye alikua meneja wa shirecu..walipiga hela fresho akamzurumu mamilioni..mzee minzi alifungwa alikuja kutoka jela hana moja wala mbili..kwenda kwa fresho kumuomba ampe suport ya maisha fresho alimtishia kumuua..mzee minzi alibidi aokoe awe mlokole mana ilibaki kidogo afe kwa stresss za maisha.

Wachaga wengi mali zao niza wizi na dhuluma.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Kupiga=Kuiba..Kosa liko wapi?
 
Nilioa uchagani sijutii kabisa. Mungu alinipa mke ambaye kwa umoja wetu tuliufuta umaskini wangu na ndugu zangu. Kuna siku nilisema hapa kuwa baada ya Mimi kuoa mchagga na rafiki zangu na ndugu wakashuhdia maisha yetu mazuri mno ya kuelewana na upendo basi ndugu zangu wa kuzaliwa tumbo Moja wote tumeoa wachagga. Ndugu wa ukoo wengi wameoa wachagga. Best friends zangu nao walioa wachagga. Kifupi sote tulioa wachagga tumebadili kila kitu kimaisha na kijijini tutokapo. Wazee wangu kabla ya kufariki walituita wakaomba kuwa sote tumuite mke wangu "Mama". Hivyo mke wangu haitwi Wifi wala shemeji. Na Mimi ninamuita mama na simkumbuki siku nimemuita kwa jina lake. Mungu akubariki mama Bahati

Endeleeni kuwabeza wachagga Ila niseme tu Wachagga ni taifa lingine kabisa. Tena kwa sasa vijiji uchagani utafikiri ni Miji mikubwa. Hata maisha ni kama mjini mpaka hata mapishi Yao.
Asante kwa appréciations
Nakala kwa anti-chagas
instanbul
MoseKing
Accumen Mo
 
Aliiba alimzurumu pesa mzee minzi ambaye alikua meneja wa shirecu..walipiga hela fresho akamzurumu mamilioni..mzee minzi alifungwa alikuja kutoka jela hana moja wala mbili..kwenda kwa fresho kumuomba ampe suport ya maisha fresho alimtishia kumuua..mzee minzi alibidi aokoe awe mlokole mana ilibaki kidogo afe kwa stresss za maisha.

Wachaga wengi mali zao niza wizi na dhuluma.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
luambo makiadi soma hii nyie ni matapeli hamna utu ...Damu yenu chafu ya kufanya umafia kwa tamaa za pesa.
 
Ulitaka atume nini?
Fanyani KAZI hakuna pesa ya bure
Kwani wapi nilitaka maendeleo kutoka kwa mwanamke 😆😆😆...Huo mjinga mvivu ndio kaletewa maendeleo na mwanamke.

Hakuna billionaire mwanamke wa huko kwenu ,nionyeshe pale kweny list ya mabillionea ....Vijana wavivu ndio mnategemea wanawake sio kwetu sisi ushamba wenu na utapeli mbaki nao huko.
 
Siyo tu, Babu Loliondo alikuwa akitibu na kutoa kinga dhidi ya Corona kwa kikombe cha jero. Aliwafanya hayo bila kuwa ba maji tiririka, sabuni, wala kuvaa kuvaa barakoa.

Mtoa tiba ya Corona babu wa Loliondo hakuhitaji hata PPEs akiwa na baraka zote za wizara ya afya na serikali, huku wakimsalimu kwa jina la JMT.

#COVID19 - Wizara ya Afya: Serikali imeanza kusambaza Chanjo ya Uviko-19 mikoa yote nchini

Tutawahoji hawa siku moja, ngoja tuchanjwe kwanza.
Yule aliandaliwa na ccm
 
Back
Top Bottom