Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,417
- 30,927
Namkubali Sana huyu mzee kwa Kuwait mkweli na mwenye msimamo usio yumba na sio mnafiki
Tunakumbushana tu kuwa ndio waziri mkuu aliyehudumu kipindi kirefu kuliko wote katika historia ya taifa letu Hii ni rekodi nzuri Sana na ndio maana wapinzani wake kisiasa wanamtania kwa kumuita Mr zero ila kimsingi huwezi kuwa zero halafu ukaongoza serikali kwa mwaka kumi mfululizo huyo ndio Mr FREDERICK TLUWAY SUMAYE KAMANDA MPIGANAJI MWANAMABADILIKO SALUTE KWAKO MZEE SUMAYE!!
Tunakumbushana tu kuwa ndio waziri mkuu aliyehudumu kipindi kirefu kuliko wote katika historia ya taifa letu Hii ni rekodi nzuri Sana na ndio maana wapinzani wake kisiasa wanamtania kwa kumuita Mr zero ila kimsingi huwezi kuwa zero halafu ukaongoza serikali kwa mwaka kumi mfululizo huyo ndio Mr FREDERICK TLUWAY SUMAYE KAMANDA MPIGANAJI MWANAMABADILIKO SALUTE KWAKO MZEE SUMAYE!!