Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 38,293
- 80,432
Hahahahaha...Yani magoli 2 ya kichwa tayari mmeshamuona anafaaa tena kwa polisi timu mbovuuuuuu...subiri acheze mechi zingine tumuone...
Hahahahaha...Yani magoli 2 ya kichwa tayari mmeshamuona anafaaa tena kwa polisi timu mbovuuuuuu...subiri acheze mechi zingine tumuone...
Ila ni ahueni kwake. Maana yatauimarisha uwezo wake wa kujiamini, hata kama ameifunga timu ya Ligi daraja la kwanza. Maana hakuna kitu kinaumiza kwa mshambuliaji kama hiki cha kushindwa kufunga magoli.Yani magoli 2 ya kichwa tayari mmeshamuona anafaaa tena kwa polisi timu mbovuuuuuu...subiri acheze mechi zingine tumuone...
Hii hoja ya kusema Yanga inapiga mabomu mochwari au kusema imefunga wachovu, acha kuitumia maana tukifanya specific to general reasoning; HAUSANG, POLISI, JKT, KMC na SIMBA wote ni MOCHWARI.Yani magoli 2 ya kichwa tayari mmeshamuona anafaaa tena kwa polisi timu mbovuuuuuu...subiri acheze mechi zingine tumuone...
Jamaa ni mzuri kwenye mipira ya vichwa ila mashuti bado ni mzitoHkn mchezsji pale twaendeleze kina mzize tu
Sijui kwanini navutiwaga na povu lakoYani magoli 2 ya kichwa tayari mmeshamuona anafaaa tena kwa polisi timu mbovuuuuuu...subiri acheze mechi zingine tumuone...
Una roho kubwa sanaYani magoli 2 ya kichwa tayari mmeshamuona anafaaa tena kwa polisi timu mbovuuuuuu...subiri acheze mechi zingine tumuone...
Matusi ya nini? Huwezi kujenga hoja bila kutoa matusi?! Mama yako mzazi yake ina ukubwa gani? Bila shaka ni kubwa sana zaidi ya ilo kopo la chumvi.Una roho kubwa sana
I gues una k kubwa kama kopo la chumvi
Gwede Kiushambuliaji Bado sana.Tunaanza saa ngapi kumuomba msamaha guede!!!!?
Huyo ni mwanamke anajilinganisha na yake ilivyo mkuu. Halafu mimi matusi hayanitishi wala kunitoa humu...tunaenda sambamba...Matusi ya nini? Huwezi kujenga hoja bila kutoa matusi?! Mama yako mzazi yake ina ukubwa gani? Bila shaka ni kubwa sana zaidi ya ilo kopo la chumvi.
Kama tako lako...Una roho kubwa sana
I gues una k kubwa kama kopo la chumvi
Yah sure...imempa auheni...Ila ni ahueni kwake. Maana yatauimarisha uwezo wake wa kujiamini, hata kama ameifunga timu ya Ligi daraja la kwanza. Maana hakuna kitu kinaumiza kwa mshambuliaji kama hiki cha kushindwa kufunga magoli.
Yaani ni sawa tu mke na mume ndani ya nyumba halafu mmoja wao ashindwe kufanikisha zoezi la kupatikana mtoto! Aisee huwa inauma sana.
Siku ile kwa Simba ni majini yalicheza 😆 😆 😆Hii hoja ya kusema Yanga inapiga mabomu mochwari au kusema imefunga wachovu, acha kuitumia maana tukifanya specific to general reasoning; HAUSANG, POLISI, JKT, KMC na SIMBA wote ni MOCHWARI.
Siku ile kwa Simba ni majini yalicheza
Hata ku press naona mvivu au sijui ndio huo umri ?Gwede Kiushambuliaji Bado sana.
Pamoja na kuwa anatumia zaidi Header yaani Vichwa.
Nikimwangalia kwa umakini Umri ushamtupa Mkono.
Una roho kubwa sana
I gues una k kubwa kama kopo la chumvi