Freddy Michael vs Guedde

Yani magoli 2 ya kichwa tayari mmeshamuona anafaaa tena kwa polisi timu mbovuuuuuu...subiri acheze mechi zingine tumuone...
Ila ni ahueni kwake. Maana yatauimarisha uwezo wake wa kujiamini, hata kama ameifunga timu ya Ligi daraja la kwanza. Maana hakuna kitu kinaumiza kwa mshambuliaji kama hiki cha kushindwa kufunga magoli.

Yaani ni sawa tu mke na mume ndani ya nyumba halafu mmoja wao ashindwe kufanikisha zoezi la kupatikana mtoto! Aisee huwa inauma sana.
 
Matusi ya nini? Huwezi kujenga hoja bila kutoa matusi?! Mama yako mzazi yake ina ukubwa gani? Bila shaka ni kubwa sana zaidi ya ilo kopo la chumvi.
Huyo ni mwanamke anajilinganisha na yake ilivyo mkuu. Halafu mimi matusi hayanitishi wala kunitoa humu...tunaenda sambamba...
Nashukuru kwa kwa concern yako
 
Ila ni ahueni kwake. Maana yatauimarisha uwezo wake wa kujiamini, hata kama ameifunga timu ya Ligi daraja la kwanza. Maana hakuna kitu kinaumiza kwa mshambuliaji kama hiki cha kushindwa kufunga magoli.

Yaani ni sawa tu mke na mume ndani ya nyumba halafu mmoja wao ashindwe kufanikisha zoezi la kupatikana mtoto! Aisee huwa inauma sana.
Yah sure...imempa auheni...
 
Hii hoja ya kusema Yanga inapiga mabomu mochwari au kusema imefunga wachovu, acha kuitumia maana tukifanya specific to general reasoning; HAUSANG, POLISI, JKT, KMC na SIMBA wote ni MOCHWARI.
Siku ile kwa Simba ni majini yalicheza 😆 😆 😆
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom