David Mkapa
Member
- Dec 20, 2017
- 25
- 3
Weee kaaa kimya hiyo hiyo ngoma si yako niyamzee wako kama alivaa atajua namna yakuvua kama amevalishwa ataelewa jinsi yakutembea nalo wewe nawe ni mtoto tu katika familiaShida iko wapi? Dada ameomba kwenda kupimwa DNA. Huyo Fredi angeacha kulalamika na ingependeza kama kesho tunekutana naye kwa mkemia mkuu akapimwe DNA ili waunganishwe na ndugu yao.
Haya mambo siku hizi yanakwenda kisayansi.