Sesten Zakazaka
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 10,557
- 19,107
Na ukute kuna mijitu kibao ilikua inajidai kumuunga mkono kwa nguvu zote ikisema kua yeye alikua ni chaguo la Mungu kuja kuingoza na kuikoa Equatorial Guinea, mioyoni mwao wanjua kabisa wanpopelekwa sipo lakini waafrika kwa unafiki tupo ngazi ya PhD