Hata mimi ni mhanga wanga wa nacte kwan profle yangu na system ya Tcu vs Nacte is closed for sellection process. Na fourth round nimeona vyuo viwili tu udom na mzumbe na idadi ni ndogo vilevile kwa mzumbe ni ngazi ya diploma na cheti zaidi [HASHTAG]#tusidanganyane[/HASHTAG] bana