MOONFISH
Senior Member
- Jul 30, 2022
- 136
- 266
Habari wakuu za kwenu? Hope mko poa.
Niko na 4G POCKET WIFI nili nunua airtell kwa thamani ya shilingi 50k
Ina offer ya 5GB kila mwezi pale unapo weka kifurushi cha mwezi mfano ukinunua GB 4.5 unapata GB 5 bure inakuwa 9GB jumla.
Haina hata mwezi na nina uza kwa bei ya 30,000 elfu
Eneo ni Tabora
DM IKO WAZI
Niko na 4G POCKET WIFI nili nunua airtell kwa thamani ya shilingi 50k
Ina offer ya 5GB kila mwezi pale unapo weka kifurushi cha mwezi mfano ukinunua GB 4.5 unapata GB 5 bure inakuwa 9GB jumla.
Haina hata mwezi na nina uza kwa bei ya 30,000 elfu
Eneo ni Tabora
DM IKO WAZI