Forodhani Zanzibar pachafu

Forodhani Zanzibar pachafu

flamini

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2015
Posts
595
Reaction score
788


Miafrica ndio tulivyo.. Mnategemea utalii halafu mnashindwa ku enforce usafi wa eneo mashuhuri.. Weka faini kubwa,Enforce usafi,Adhibu watu,tia bakora wanaokojoa baharini..
 
Watajijua wenyewe hayo sio mambo ya muungano
 
Sasa hapo si walikuwa wanasafisha chap. Waajiri wazoa taka baharini pia.
 
View attachment 3531680

Miafrica ndio tulivyo.. Mnategemea utalii halafu mnashindwa ku enforce usafi wa eneo mashuhuri.. Weka faini kubwa,Enforce usafi,Adhibu watu,tia bakora wanaokojoa baharini..
Kozi za wananchi ndizo hazifanyiwi kazi. Wananchi wanalipa kozi na serikali ni jukumu lake kutekeleza yote hayo, na yule anayechafua mazingira sharti achukuliwe hatua kali sana
 
Hiyo nadhani ni Najhari yenyewe inafanya yake. Hakuna wa kulaumu
 
Kuna kighorofa kimeandikwa Chikai 168 jirani na soko la mwanakwerekwe, kule nyuma hakufai. Pachafu sana.

Ni kama kuna chanzo cha maji, basi uchafu wote unamwagwa huko.
 
Back
Top Bottom