MaxShimba
JF-Expert Member
- Apr 11, 2008
- 35,772
- 4,055
Get some of your mama's trailer cunt?
You need to look in the mirror. Oh wait!... you may not have a reflection. Are you overheating? Oil can.....and hurry.
Get some of your mama's trailer cunt?
You need to look in the mirror. Oh wait!... you may not have a reflection. Are you overheating? Oil can.....and hurry.
Your mama's trailer cunt mirror?
Ahhh, he is out with his mindless trolling on this post again,....Go figure
Your mama is out looking for some Ngabu ding-a-ling?
Ask your Mama, Who's your daddy?
I'm your mama's fcuk friend
So you are fcing your mama, eeeeewwwwwwwweeeeeee, I just told you, ask your MAMA, who's your daddy? Bigot.
Naah, I'm screwing your mama.
Tell her, DADDY is coming tonight.
You never end a sentence with "are"
Uliona wapi wewe?
Kama wanamchukia Obama kwa wanaendelea ku-carry successful missions directed by Obama?. Hao wanaompinga Obama ni wapuuzi wachache walioingia jeshini kwa sababu binafsi si za uzalendo. Na hao ex-officers wanachofanya ni kujidhalilisha, wangekuwa na effect kama Obama angekuwa si rais, lakini Obama aliyoyafanya kila mwananchi anajua. Walifanikiwa kwa Kerry, this time watumie mihela inayomwagwa na kina Sheldon Adelson ila this time is not GOP's turn, they have to wait 2016 to face Hillary
Siasa za marekani ni tofauti sana mkuu.Bottomline,watu wanapiga kura for what's at stake si kama hao wakwetu kwenye watu wenye kupigakura wakishapewa pilau,kanga na pombe.
Issue zitakazo determine ni kadhaa,this time around its the "economy stupid",pamoja na the fact kwamba "obamacare" ipo hatarini kwa wale wenye kuisapoti(wengi ni low income people. Na minorities ambao hata hivyo wameshaanza kuundiwa mizengwe through voter id).
Jambo jingine ni taxes za Bush ambazo ziko set ku expire january 2013 kama sikosei.Wananchi wamegawanyika kuhusiana na hilo,kuna wenye kusapoti hoja ya Obama kuwa tax cuts kwasasa ni muhimu kwa middle class pamoja na small businesses zenye mapato ya mwaka yasiyozidi $250,000 kama sikosei.Na mpango wa Obama pia umezingatia kupambana na defict kwa upande mmoja na kwa upande mwingine,kuhakikisha kwamba middle class can spend and thats how the economy can move forward.Kwa kuwapatia wananchi wenye kuhitaji pesa za kutumia kustimulate uchumi,na si za kupeleka kwenye akaunti za nje kukwepa kodi nk.
Kwa kifupi sana tu,kuna hoja ambazo ikifika wakati wa kupiga kura,wananchi watalazimika kwenda kumchaguwa wanayeona anafaa kwasababu tofauti ya Romney na Obama policywise ni kubwa mno!
Sasa kama Wamarekani wanampigia kura OBama ili wapewe matibabu ya bure (free healthcare), vyakula vya bure (food stamps, welfare) wana tofauti gani na watanzania wanaopiga kura wakipewa pilau? Au kwa sababu kanga ni bei rahisi ndiyo maana unaona ni tofauti? Ukifikiria sana utajua kuwa principle ni ile ile.
Mkuu hivi unaushirikisha ubongo vyema?pilao na kanga siku ya kampeni unafananisha na welfare system?
Vyote viwili vinaumiza nchi. Welfare system inafilisi nchi na uchumi. Kanga zinarudishi mafisadi madarakani ambao wanafilisi uchumi na nchi. Upo hapo?