Naona wenzetu wanaendelea Vizuri katika vita kwa wakwepa Kodi
Kosa lake nini? Lete habari kamili!
Naona wenzetu wanaendelea Vizuri katika vita kwa wakwepa Kodi
Sipati picha Makonda itakavyoshughulikiwa siku Magu akianguka.Kama alitoa amri za kuua watu bila sababu? kma aliwatendea watu kama Lisu alivyotendewa? Nijibu please!
Hao wazalendo namba moja wanatuangusha wafuasi waoWazalendo namba moja wanaogopa kukaguliwa na CAG walahi
Chadrema soma hiyooo
Sent using Jamii Forums mobile app
Wamedhalilisha kama anatoroka vileJamani angalieni You tube link hii na maelezo yafuatayo:
Soma na hii link: Botswana arrests ex-spy boss
Hawa wanachokifanya hata Tanzania haijawahi kukifanya kwa wapinzani.Tanzania mtu unaitwa unaenda kwa heshima ndo unawekwa ndani kama kunashida na siyo kwa kudhalilisha kama walivyofanya kwa huyu bwana.