atajijua si alikuwa anafanyia kazi ccm ya huko na siyo kutumikia taifa lake
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani angalieni You tube link hii na maelezo yafuatayo:
Soma na hii link: Botswana arrests ex-spy boss
Hawa wanachokifanya hata Tanzania haijawahi kukifanya kwa wapinzani.Tanzania mtu unaitwa unaenda kwa heshima ndo unawekwa ndani kama kunashida na siyo kwa kudhalilisha kama walivyofanya kwa huyu bwana.
Navyofahamu jamaa alimdharau the current president kisa alikuwa ni mshkaji wa past president.
Hamna jipya. Ni kazi ya upinzani kupinga. Ukiangalia kwa umakini huyu jamaa ni victim wa vita ya kisiasa kati Khama na Masisi.Hata upinzani wa Botwswana wamekataa style iliyotumika ya kudahlilisha kumkamata.. check link
:Botswana: Arrest of ex-spy chief riles opposition
Na wote chama kimoja ila upinzani ulimtumhumu lakini unakataa style iliyotumika kumkamataHamna jipya. Ni kazi ya upinzani kupinga. Ukiangalia kwa umakini huyu jamaa ni victim wa vita ya kisiasa kati Khama na Masisi.
Hayo mbona madogo ,Jamani angalieni You tube link hii na maelezo yafuatayo:
Soma na hii link: Botswana arrests ex-spy boss
Hawa wanachokifanya hata Tanzania haijawahi kukifanya kwa wapinzani.Tanzania mtu unaitwa unaenda kwa heshima ndo unawekwa ndani kama kunashida na siyo kwa kudhalilisha kama walivyofanya kwa huyu bwana.
Hayo mbona madogo ,Jamani angalieni You tube link hii na maelezo yafuatayo:
Soma na hii link: Botswana arrests ex-spy boss
Hawa wanachokifanya hata Tanzania haijawahi kukifanya kwa wapinzani.Tanzania mtu unaitwa unaenda kwa heshima ndo unawekwa ndani kama kunashida na siyo kwa kudhalilisha kama walivyofanya kwa huyu bwana.
Jamani angalieni You tube link hii na maelezo yafuatayo:
Soma na hii link: Botswana arrests ex-spy boss
Hawa wanachokifanya hata Tanzania haijawahi kukifanya kwa wapinzani.Tanzania mtu unaitwa unaenda kwa heshima ndo unawekwa ndani kama kunashida na siyo kwa kudhalilisha kama walivyofanya kwa huyu bwana.
Hakuna namna yoyote ya kukwepa hiliHayo mbona madogo ,
Ngoja huu utawala wa awamu hii uishe uone watu watakavyoikimbia Tanzania hakunaga mtenda baya aliyeponaga from revenge amini hivyo
Hata hilo dude lenu mtakujaga lionea huruma
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani angalieni You tube link hii na maelezo yafuatayo:
Soma na hii link: Botswana arrests ex-spy boss
Hawa wanachokifanya hata Tanzania haijawahi kukifanya kwa wapinzani.Tanzania mtu unaitwa unaenda kwa heshima ndo unawekwa ndani kama kunashida na siyo kwa kudhalilisha kama walivyofanya kwa huyu bwana.
Hata sie tutafika pazuri..mwanzo mzuriNaona wenzetu wanaendelea Vizuri katika vita kwa wakwepa Kodi