sasa si ndio maana wanakutana hapa ili kubadilishana mawazo!!....halafu kutochaguliwa jkt hakuna uhusiano wowote na kuchaguliwa vyuo bali matokeo yao yatakapotoka yataamua.sasa we watu wana mawazo juu ya kutoachaguliwa make ata chuo itakuwa tabu,,,, we** unataka mchat hapa,,,, nilijua una idea ya vyuo vizuri vya kuapply.
Msalimie Mr Ng'ang'a na Kipanya kama bado wapoMbezi beach high school---HGL
Definitely utakwenda MUHASMARIAN PCB
Hivi matokeo yanatoka lini, na Universities zinafunguliwa liniSubiri matokeo ninyi
ww usirudie tenahivi kwa sisi ambao hatujachaguliwa, inakuaje...... kuna second selection ya jkt au