bado, hii ni very big event, zikitoka tu utajua. TULIA kama Ackson!Habari za wakati huu vijana wenzangu,wakubwa zangu shikamoo.
Naomba kujuzwa kama selection za
kujiunga kidato cha tano kwa mwaka 2022/2023, zimeshatoka??.
Kwa yeyote mwenye taarifa naomba anijuze tafadhali.
Natanguliza shukrani.
Mwezi wa saba ndio huwa wanaripoti shuleni.Labda kwa sababu kwa sasa elimu ni bure wanadhani maandalizi sio mengi kama huko nyuma.Kwani form five huwa zinaanza lini rasmi?
Je Kwanini wasitoe mwenzi mmoja kabla au hata miezi 2 ili yafanyike maandalizi?
MCHANGANUO WA SELECTION FORM FIVE AND COLLEGE'S MWAKA 2023 










Kutokana na ufaulu wa wanafunzi waliomaliza kidato cha nne mwaka 2022 kuongezeka kwa 2.9% zaidi ya ufaulu wa mwaka 2021 kumeifanya selikari kuja na mikakati madhubuti ya kuhakikisha kila mwanafunzi wa ufaulu wa juu anapewa kipaumbele
TAMISEMI imeweza kupanga selection hizo kwa makundi tofautitofauti
Tukianza na
PCB, na PCM
wakiume tutachukua kuazia daraja la I point ya 7 -15
wakike daraja la I point ya 7-17
CBG na PGM
Wakiume tutachukua mpaka daraja la II point ya 21
Wakike mpaka daraja III ya 22
EGM na EC
Wakiume mpaka daraja II ya 21
Wakike mpaka daraja III ya 22
HGE na CBA
wakiume mpaka daraja II ya 21
wakike mpaka daraja III ya 22
HGL,HGK, na HKL
wakiume mpaka daraja II ya 21
Wakike mpaka daraja III ya 23
KLF
wakiume mpaka daraja II ya 21
wakike mpaka daraja III ya 23
VYUO /COLLEGE'S
Wakiume mpaka daraja la III point ya 23
Wakike mpaka daraja IIIya 25
NB: Mwanafunzi wa sayansi watachukuliwa endapo wana D nne za masomo ya sayansi ikiwemo na Hesabu
Wakiume daraja la III point ya 25
Wakike mpaka daraja la IV point ya 26.
NB:
wakiume yeyote mwenye daraja la III kujinga na kidato cha tano
Wakike yeyote mwenye daraja la III point ya 24-- kujiunga na kidati cha tano
wakiume yeyote mwenye daraja la IV kujiunga na vyuo vyovyote vya selikari
NB: Mchakato wa kutoa selection post bado upo mbioni mtaarifiwa pindi post zitakapotoka
















